Defensive Driving

Ukisimamisha gari wakati wa giza pembeni mwa barabara zima taa za mbele na kama ni highway washa taa za hazard
 
4: Acha mita 2 au zaidi kati ya gari yako na gari ya mwenzako
unapoendesha gari yako.
5: Sima ukatizapo kivuko cha waenda kwa miguu.


Unaweza ukasimama ukagongwa nyuma na dereva ambaye hajaacha mita tatu kati gari yako na yake
 
Wear your seatbelt always.
No tailgating labda kama unacheza NFS ili u-slingshot.😛😛😛😛😛
 
ukiwa unapita hii bagamoyo road kwenye vituo vya daladala watoto wazuriwazuri na vimini wanakaa vibaya tuwe tunahesabu chupi gani wamevaa, mtasababisha ajali sanasana makonde pale, unajikuta tu ushageuka mara paap umempandia mtu kwa nyuma asee
...vaeni magagulo au redimedi kwani mnataka tuone nini
 
Usishindane na gari linalotaka kukupita,hata kama dereva huyo anakupita kimakosa.
Punguza mwendo wa gari yako ili endapo kuna gari linakuja mbele,huyo anayetaka kukupita
apate nafasi ya kukwepa kuepusha kugongana uso kwa uso na gari inayokuja mbele yenu.
 
Muhimu zaidi.

Lazima uwe na gari,usiendeshe mifuniko ya ndoo za maji barabara huku ukizingatia sharia zote za uendeshaji,wewe bado utakuwa ni dungaembe tu.
 
4: Acha mita 2 au zaidi kati ya gari yako na gari ya mwenzako
unapoendesha gari yako.
5: Sima ukatizapo kivuko cha waenda kwa miguu.

Mmmmh mkuu mita 2?!!...mbona naona kama ndogo sana... mita 2 kati ya gari na gari hapo sio defensive drive mkuu..hio itakuwa Attacking drive 😀
Safe drive ina require walau meter 5
 
Kwa madereva wajuaji wa Dar, ukiacha hiyo mita 2, mtu anachomeka gari yake, ukiacha tatu anaona we ni learner.

Inawezekana, ila mara nyingi ukiwa kwenye High way, hasa unapokuwa nyuma ya malori......waendesha Auto hawawezi kukuelewa.
Mkuu, ili tukuwe salama..... hatushauriwi kuendesha kwa kutaka maonyesho/sifa
 
Hiyo namba 5 inatakiwa usimame tu au usimame kukiwa na mtu anataka kuvuka?
hii haijalishi mtu anapita mkuu...
jiwekee utaratibu wa kuacha nafasi ya 5 metres kati ya gari yako na gari nyingine
 
Mtoa mada kataka tujadili udereva wa kujihami na siyo sheria za udereva ama sheria za barabarani.
 
Ukisimamisha gari wakati wa giza pembeni mwa barabara zima taa za mbele na kama ni highway washa taa za hazard
Hili ni tatizo kubwa sana kwa madereva wa kitanzania, hawazimi taa tena zinakuwa ziko kwenye full
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…