Hii ni ya muhimu lkn hamna aliyesema usiendeshe ukiwa umelewa
11. Usiendeshe gari ukiwa umelewa
km ni Highway na ni speed zaidi ya 50km/h pori kwa pori hata hiyo meter 2 haitoshiinatakiwa 2 -3 seconds not 2 miter..na unahesabu 1001, 1002 kutoka gari ya mbele inapopita stationary object na unapokifikia wewe
Vipi kuhusu upepo mkuu
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Muhimu zaidi.
Lazima uwe na gari,usiendeshe mifuniko ya ndoo za maji barabara huku ukizingatia sharia zote za uendeshaji,wewe bado utakuwa ni dungaembe tu.
Weeeeh! Ile kitu inakatiza mbele ya car screen! Kitu mgongo binuka, chura wowowo, moja hamsini lingine mia, kifua kidogo na embe dodo zilizochongoka, bado ile mwendo yake ya kubembeleza afu kitu inatikisika mtindo wa kuita afu unazungumzia eti nisiangalie furaha ya macho. Hapo ajali wala haiwezi kuja bhana, nambie kitu ingine!una mahusiano mazuri na ajali aiseeeee......[emoji45] [emoji45]