Ni kweli kuna tatizo la ajira lakini viwango vimetofautiana kwa kozi
Kuna kozi kama Bima, Environment, Philosophy, siasa, Business administration, n.k. Ni ngumu kujiajiri na ni nadra kusikia tangazo la ajira.
Wakati huo kusomesha mtu degree bila mkopo kinahitajika kiasi cha milioni 10 kwa kujibana bana
Pocket Money miezi tisa kwa miaka mitatu
150,000*9*3 = 4,050,000
Ada - 1,500,000 *3=4,500,000
Hostel - 500,000*3=1,500,000
Jumla 10,050,000
Halafu mtu arudi mtaani mwaka mzima kuna matangazo mawili ya ajira 😑😓, kujiajiri hawezi 😔 kuna utofauti gani na kuzichoma milioni 10 kwenye tanuri la moto ?
Nikisikia "Baba / mjomba / Shemeji naomba unisomeshe degree ya siasa" sina huo uwezo, Ni heri uende veta kisha nikupe mtaji.
Kuna kozi kama Bima, Environment, Philosophy, siasa, Business administration, n.k. Ni ngumu kujiajiri na ni nadra kusikia tangazo la ajira.
Wakati huo kusomesha mtu degree bila mkopo kinahitajika kiasi cha milioni 10 kwa kujibana bana
Pocket Money miezi tisa kwa miaka mitatu
150,000*9*3 = 4,050,000
Ada - 1,500,000 *3=4,500,000
- Hii ni ada ya chuo cha serikali nje ya kozi za science (computer, udaktari, engineering, n.k), vyuo private vina ada kubwa zaidi.
Hostel - 500,000*3=1,500,000
Jumla 10,050,000
Halafu mtu arudi mtaani mwaka mzima kuna matangazo mawili ya ajira 😑😓, kujiajiri hawezi 😔 kuna utofauti gani na kuzichoma milioni 10 kwenye tanuri la moto ?
Nikisikia "Baba / mjomba / Shemeji naomba unisomeshe degree ya siasa" sina huo uwezo, Ni heri uende veta kisha nikupe mtaji.