Mpigamsuli
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 3,885
- 582
TuKATAE TUKUBALI UGUMU WA HIZI TAALUMa ZA ENGINEERING ,LAW NA MEDICINE HUWEZI KUFANANISHA NA TAALUMA ZA AJABU AJABU KAMA HUMANRESOURCE ,SOCILOGY, MASSCOMM, NDO MAANA NASEMA BACHELOR YA ENGINEERING,MEDICINE,NA LAW NI SAWA NA PhD YA SOCIOLOGY, HUMAN RESOURCE ,MASSCOM N.K
TuKATAE TUKUBALI UGUMU WA HIZI TAALUMa ZA ENGINEERING ,LAW NA MEDICINE HUWEZI KUFANANISHA NA TAALUMA ZA AJABU AJABU KAMA HUMANRESOURCE ,SOCILOGY, MASSCOMM, NDO MAANA NASEMA BACHELOR YA ENGINEERING,MEDICINE,NA LAW NI SAWA NA PhD YA SOCIOLOGY, HUMAN RESOURCE ,MASSCOM N.K
TuKATAE TUKUBALI UGUMU WA HIZI TAALUMa ZA ENGINEERING ,LAW NA MEDICINE HUWEZI KUFANANISHA NA TAALUMA ZA AJABU AJABU KAMA HUMANRESOURCE ,SOCILOGY, MASSCOMM, NDO MAANA NASEMA BACHELOR YA ENGINEERING,MEDICINE,NA LAW NI SAWA NA PhD YA SOCIOLOGY, HUMAN RESOURCE ,MASSCOM N.K
umenipa raha sana MKUU then hapo uko sahii kabisa ningekua natumia top ningekupa like saba hivi
Mdogo wangu ukikuwa utakuja kugundua haukutumia werevu kabisa tangu kuanzisha hii Thread na wala unavyochangia.Ha HA HA MKUU UKWELI UNAWAUMA WANAOSOMA KOZI ZA KISHENZI
Ha HA HA MKUU UKWELI UNAWAUMA WANAOSOMA KOZI ZA KISHENZI
sasa hyo hr ndo bosi wenu sasa kunamaa hapo!
kwa mfano, kama hesabu zinakupiga chenga taka usitake engineering huwezi kamwe. Japo degree ni degree kweli ila ukweli unauma law,engineering na medicine ni tough jaman. Ndiyo maana ukimaliza kozi hizo kuna body za kuidhinisha kama vile erb etc. Nami niseme tu muanzisha uzi amenikuna
Kwa mfano, kama hesabu zinakupiga chenga taka usitake Engineering huwezi kamwe. Japo degree ni degree kweli ila ukweli unauma law,engineering na medicine ni tough jaman. Ndiyo maana ukimaliza kozi hizo kuna body za kuidhinisha kama vile ERB etc. Nami niseme tu muanzisha uzi amenikuna
hivi hii dunia wa maana na wanafanya maajabu katika maisha ni hawa mliowataja tu? Yaaani waliosoma engendering, law na medicine? Ucheni umbululu kozi zote duniani zina mchango mkubwa katika kuiendeleza dunia na kuifanya hii dunia kuwa kama ilivyo. Mliishawahi kufikiri umuhimu wa kozi za biashara hapa duniani especially hiyo hr uliyoipondo we mleta maada? Ualimu ndo baba yao! Bila kozi za ualimu we mwenyewe usingejua kutoa mapovu kama ulivyofanya kwenye huo uzi wako?
Kuna vitu vya kujadili kwa maslahi ya taifa letu lakini siyo huu umbululu iliouleta hapa jamvini.
Grow up ndugu yangu, usiwe kama mbuyuwani.
Ha HA HA MKUU UKWELI UNAWAUMA WANAOSOMA KOZI ZA KISHENZI
mkuu nashukuru kwa kuliona hilo