PS ni kifupi cha Political Science yaani Sayansi ya Siasa
Somo la Historia naamini unalifahamu vzr, sina haja ya kuelezea. Kwa hiyo msomi wa PS na History anakuwa mtaalamu wa masuala elimu ya siasa kama vile uchambuzi wa Siasa, nadharia zake, mifumo ya mabunge, mifumo ya utawala n.k na wakati huo huo anakuwa amebobea kwenye historia