Degree za bamaga

kabila01

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2009
Posts
4,235
Reaction score
4,964
Katika vile vikao vyetu vya jion baada ya kazi, tulikua tumekutana na jamaa kibao kutoka sehem mbalimbali za kazi. Katika mazungumzo kuna mtu mmoja alifanya mambo ya kitoto sana ndo jamaa mmoja akamwambia " inakuaje unafanya vitu vya kitoto kama hivi au na wewe una degree ya Bamaga?" hapo jamaa alikua anamaanisha kua degree inayotolewa na Chuo cha ustawi wa jamii Dar
 
Nadhani jamaa aliongea kama mbunge wa ccm
 
naona hapa ni uchambuzi wa chuo kimoja baada ya kingine, sijui kipi kitafata sasa
 
mi naona nikutokana na ujuzi wapale ni unahusiana na mambo ya watoto kama vile diploma ya jinsia na watoto..
 
Du!mm niliposoma heading sikuelewa mtoa mada alikua anamaanisha nini!ila kwa sasa nimempata!kwani pale wanatoa degree siku hz?tatizo sio wanafunzi!wanafunz hawana taabu hata kidogo!tatizo lipo kwa hao waliowapa hadhi ya kutoa degree wakati wakijua hawana sifa za kutoa hiyo degree
 
Sera za chama hizi mpaka kufikia 2015 vyuo vinavyotoa degree viongezeke bila kujali walimu watasoma vipi na maslahi yao yatakuwaje? Hawa ndo ccm bwana si unaona vyou vyote sasa ni degree lkn ubora ni 0
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…