Vawulence
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 1,930
- 2,118
Baada ya mechi ya ngao ya jamii, watu wengi wamekuwa wakimshambulia mchezaji mpya wa Simba toka Serbia na kudai kuwa hana kiwango cha maana.
Wengi wamediriki kusema alikuja na mzigo wa jezi wa VB na Simba wakamsajili.
Wengi wa wanaomsakama Dejan ni washabiki wa Yanga.
Kwa upande mmoja wengi wa washabiki wa Simba wanachukulia kitendo hicho kama ni ubaguzi hasa wanaposikia akitaniwa kwa kuwa tu ni mzungu.
Jambo moja ni wazi kuwa kama masimango hayo yatachukuliwa vyema, basi ni njia nzuri ya kumjenga na kumuimarisha Dejan.
Kuna mifano mingi ya wachezaji waliopitia ubaguzi lakini wakafanya mambo makubwa... Kwa uchache niwataje Pele, Drogba, Okocha, Dani alves, Etoo na Thiery Henry.
Kwa sasa mashabiki wa Simba wawe watulivu wamuache Dejan aelekeze hasira anazopata kwa kubaguliwa na wanaUtopolo wakiongozwa na Zeruzeru wao.
Kuna siku wataimba nyimbo za kumsifu "mzungu"
Wengi wamediriki kusema alikuja na mzigo wa jezi wa VB na Simba wakamsajili.
Wengi wa wanaomsakama Dejan ni washabiki wa Yanga.
Kwa upande mmoja wengi wa washabiki wa Simba wanachukulia kitendo hicho kama ni ubaguzi hasa wanaposikia akitaniwa kwa kuwa tu ni mzungu.
Jambo moja ni wazi kuwa kama masimango hayo yatachukuliwa vyema, basi ni njia nzuri ya kumjenga na kumuimarisha Dejan.
Kuna mifano mingi ya wachezaji waliopitia ubaguzi lakini wakafanya mambo makubwa... Kwa uchache niwataje Pele, Drogba, Okocha, Dani alves, Etoo na Thiery Henry.
Kwa sasa mashabiki wa Simba wawe watulivu wamuache Dejan aelekeze hasira anazopata kwa kubaguliwa na wanaUtopolo wakiongozwa na Zeruzeru wao.
Kuna siku wataimba nyimbo za kumsifu "mzungu"