Dejan Georgijevic mbioni kutikia nchini Misri kujiunga na klabu ya Al-ittihad iskandary (alexandria)

Dejan Georgijevic mbioni kutikia nchini Misri kujiunga na klabu ya Al-ittihad iskandary (alexandria)

Tipstipstor

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2021
Posts
1,528
Reaction score
3,352
Inasadikika kuwa aliyekuwa mshambuliaji raia wa serbia, Dejan Georgijevic yupo mbioni kutimkia nchini misri kujiunga na klabu ya Al-ittihad iskandary (alexandria) kuungana na aliyekuwa kocha wa simba Zoran Maki.

Vyanzo vya karibu nchini Misri vimenihabarisha kuwa kocha huyo Zoran Maki, anamhusudu sana mshambuliaji huyo na anamuhitaji katika kuiongezea nguvu safu yake ya ushambuliaji kabla ya pazia la ligi kuu nchini misri kufunguliwa. Moja ya malengo ya Al-ittihad alexandria msimu huu ubaotarajiwa kuanza ni kuingia katika nafasi za juu za msimamo wa ligi kuu ya misri ili wahakikishe kuwa wanapata nafasi ya kushiriki mashindano ya shirikisho mwakani.
 
Ukweli ni kwamba dejan ni mchezaji mzuri bonge moja la striker, kufeli kwake simba inaweza ikawa imesababishwa na vingi, si ajabu mchezaji mzurri akafeli sehemu, ishawatokea kina falcao, juan Sebastian veron, kina dimaria, alexis sanchez na wengine kibao.

Kwa jicho la soka dejan ni bonge moja la striker, ana kuofa vitu vingi uwanjani.
 
Ukweli ni kwamba dejan ni mchezaji mzuri bonge moja la striker, kufeli kwake simba inaweza ikawa imesababishwa na vingi, si ajabu mchezaji mzurri akafeli sehemu, ishawatokea kina falcao, juan Sebastian veron, kina dimaria, alexis sanchez na wengine kibao.

Kwa jicho la soka dejan ni bonge moja la striker, ana kuofa vitu vingi uwanjani.
Majungu yamemuondoa simba. Simba wasipotafuta kocha kuyoka nje ya afrika hii,ijiandae kuona mvurugiko zaidi
 
Ukweli ni kwamba dejan ni mchezaji mzuri bonge moja la striker, kufeli kwake simba inaweza ikawa imesababishwa na vingi, si ajabu mchezaji mzurri akafeli sehemu, ishawatokea kina falcao, juan Sebastian veron, kina dimaria, alexis sanchez na wengine kibao.

Kwa jicho la soka dejan ni bonge moja la striker, ana kuofa vitu vingi uwanjani.
Ni kweli mwepesi na anajua kuji position

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Ukweli ni kwamba dejan ni mchezaji mzuri bonge moja la striker, kufeli kwake simba inaweza ikawa imesababishwa na vingi, si ajabu mchezaji mzurri akafeli sehemu, ishawatokea kina falcao, juan Sebastian veron, kina dimaria, alexis sanchez na wengine kibao.

Kwa jicho la soka dejan ni bonge moja la striker, ana kuofa vitu vingi uwanjani.
Hii ndiyo bongo,
Ishi uchukiwe
Kufa usifiwe
 
Ukweli ni kwamba dejan ni mchezaji mzuri bonge moja la striker, kufeli kwake simba inaweza ikawa imesababishwa na vingi, si ajabu mchezaji mzurri akafeli sehemu, ishawatokea kina falcao, juan Sebastian veron, kina dimaria, alexis sanchez na wengine kibao.

Kwa jicho la soka dejan ni bonge moja la striker, ana kuofa vitu vingi uwanjani.
Uko sahihi lakini kumbuka kuja kwake kulitokana na Zoran..Zoran ameondoka we ulitegemea nini? Hili lilijulikana tu.
 
Simba itageuka rasmi sasa kuwa timu ya waswahili. Maana combination ya Mgunda na Matola italeta uswahili wa kutisha sana kwa wachezaji.

Itafikia wakati wake wachezaji wote wasio wezana na hayo mambo ya uswahili, watatafuta milango ya kutokea. Maana watakuwa hawana namna nyingine. Ameanza Mlete Mzungu, wengine watafuatia.

Ngoja tusubiri tuone.
 
Ukweli ni kwamba dejan ni mchezaji mzuri bonge moja la striker, kufeli kwake simba inaweza ikawa imesababishwa na vingi, si ajabu mchezaji mzurri akafeli sehemu, ishawatokea kina falcao, juan Sebastian veron, kina dimaria, alexis sanchez na wengine kibao.

Kwa jicho la soka dejan ni bonge moja la striker, ana kuofa vitu vingi uwanjani.
Hakutakiwa na timu,katengenezewa mazingira magumu
 
Ukweli ni kwamba dejan ni mchezaji mzuri bonge moja la striker, kufeli kwake simba inaweza ikawa imesababishwa na vingi, si ajabu mchezaji mzurri akafeli sehemu, ishawatokea kina falcao, juan Sebastian veron, kina dimaria, alexis sanchez na wengine kibao.

Kwa jicho la soka dejan ni bonge moja la striker, ana kuofa vitu vingi uwanjani.
ana ku ofa kuji position
 
ana ku ofa kuji position
Anajua kuji position, anaweza shuka chini kusaidia timu na kucheza nayo, anaweza shambulia tokea chini, anaweza kudrible one against one hata beki 2 anaweza wapakia, ana shhoot miguu yoote, anaweza shambulia tokea pembeni(kulia, kushoto), ana jicho la pasi so anaweza kucheza counter attack!
 
Prof nab mchukue Dejan azibe nagasi ya makambo.. pale yanga atacheza vizr sana.. dejan anapenda pasi mpenyezo ambazo pale yanga zimejaaa sana kutoka kwa aziz ki bigirimana aucho sure boy na feisal salum..
 
Back
Top Bottom