Uwesutanzania
JF-Expert Member
- Feb 9, 2019
- 1,380
- 1,686
Ntajaribu kuwashauri akina bankubwa nabiProf nab mchukue Dejan azibe nagasi ya makambo.. pale yanga atacheza vizr sana.. dejan anapenda pasi mpenyezo ambazo pale yanga zimejaaa sana kutoka kwa aziz ki bigirimana aucho sure boy na feisal salum..
Kila mtu anasema lake kama ndo waliomuajiri that's why nauliza kwahyo mnasemaje?kama ulivyosikia
Natamani aje Yanga . Huyu jamaa ni bonge la mchezaji , makolo wamejichanganya kumuachaMajungu yamemuondoa simba. Simba wasipotafuta kocha kuyoka nje ya afrika hii,ijiandae kuona mvurugiko zaidi
Mkuu unaonaje tukimvuta aje Yanga ? Huyu ni bonge la mchezaji makolo wamejichanganya kumuachaSimba itageuka rasmi sasa kuwa timu ya waswahili. Maana combination ya Mgunda na Matola italeta uswahili wa kutisha sana kwa wachezaji.
Itafikia wakati wake wachezaji wote wasio wezana na hayo mambo ya uswahili, watatafuta milango ya kutokea. Maana watakuwa hawana namna nyingine. Ameanza Mlete Mzungu, wengine watafuatia.
Ngoja tusubiri tuone.
Pale Yanga mchezaji yoyote yule akienda, atang'ara! Labda Kibu Dennis pekee ndiyo atashindwa kuendana na falasafa ya timu yetu.Mkuu unaonaje tukimvuta aje Yanga ? Huyu ni bonge la mchezaji makolo wamejichanganya kumuacha
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Nyie wenye viongozi makini kambole aliwashinda nn kumbakiza estadio the utopolo mpaka mkataka nafasi yake apewe kisinda na kuanza kumlaumu karia wakati mda wake ulishapitaSimba itageuka rasmi sasa kuwa timu ya waswahili. Maana combination ya Mgunda na Matola italeta uswahili wa kutisha sana kwa wachezaji.
Itafikia wakati wake wachezaji wote wasio wezana na hayo mambo ya uswahili, watatafuta milango ya kutokea. Maana watakuwa hawana namna nyingine. Ameanza Mlete Mzungu, wengine watafuatia.
Ngoja tusubiri tuone.
Ulimuona huyo Kambole akigombana na mchezaji mwenzake kwa kisingizio cha kumnyima pasi uwanjani? Kambole amemalizana na uongozi kwa makubaliano yao wenyewe ya pande mbili. Na kwa sasa yuko zake Wakiso Giants ya Uganda anakula tu mema ya nchi!Nyie wenye viongozi makini kambole aliwashinda nn kumbakiza estadio the utopolo mpaka mkataka nafasi yake apewe kisinda na kuanza kumlaumu karia wakati mda wake ulishapita