Dejan Georgijevic - mchezaji mzungu wa Simba

syndicate

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2016
Posts
238
Reaction score
391
Mzungu wa Simba Djan tunatambua fika umekuja Simba ki michongo michongo kutokana na kikosi Cha "NTU WA DILI", Kwa aibu unayotuonyesha wanasimba tafadhali kabla hatujachukua maamuzi magum ya kimkakati, fanya uombe kuvunja mkataba mapema!! Simba Kama watanzania wengine tunateswa na vingi ikiwemo TOZO, VIONGOZI WA SIMBA, WACHEZAJI MAFAZA WANAOKULA MSHAHARA WA BURE SIMBA pamoja na WEWE MZUNGU WA MCHONGO!!


Uzi tayari!!
 
Kiufupi wachezaji wengi Simba wanacheza show game, na wasipobadilika au kocha hasiposhtuka itawacost.
 
Na usikute analipwa kama au zaidi ya Chama.
 
Nilikuwa namtetea sana huyu Bwana Mkubwa, ila kwa hizi mechi 3 ikiwemo ile aliyofunga nimemfuta.
Mechi ya Al Hilal ovyo,
Mechi ya Leo Ovyo kabisa.
Mchezaji gani anasifiwa mikimbio Kama Usain Bolt tu Lakini hana uelekeo sahihi?
Kalpana njoo huku wanasema tubadikiahe msemo sasa uwe toa mzunguuuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…