Hahaha Musoma upo sehemu gani hapoJamani nauza deki aina ya Zec sasa hamtaki kununua kila mtu hana shida nayo wajameni
Vitu vyenye majina ya ZEC na NEC huwa naviogopa kama malaria
TV zinakuja na USB Port, ukiweka flash tu unaangalia Movie,Jamani nauza deki aina ya Zec sasa hamtaki kununua kila mtu hana shida nayo wajameni
Jamani nauza deki aina ya Zec sasa hamtaki kununua kila mtu hana shida nayo wajameni
Mkuu sasa wewe ukilia na yule ambaye nyanya ama vitunguu ama matikiti huozea shambani kwa kukosekana wateja afanye nini? Biashara uvumilivuDah? Wakuu yani humu ndo napategemea tena lakini ndo shida shida, jamani wakuu nina shida na hela mpaka nilie mbona mnanitenga, nimeamua kuuza Mali yangu cha kwangu ndo kitaniokoa, huku nilipo wateja nimekosa, mnataka niwaombe hela ππππ
Mkuu kama ni mkopo jaribu kutafuta kwa watu wa karibu unaoishi nao. Kutegemea mtu wa jf akukopeshe wakati hata hamjuani ni sawa na kusubiri meli airport.Basi mkuu mwenye kiasi kidogo anikopeshe mi ntamrudishia kama hakuna mwenye shida na deki
Duuπ²ππΆMkuu kama ni mkopo jaribu kutafuta kwa watu wa karibu unaoishi nao. Kutegemea mtu wa jf akukopeshe wakati hata hamjuani ni sawa na kusubiri meli airport.
Sent using Jamii Forums mobile app