Vhagar JF-Expert Member Joined Jun 8, 2015 Posts 20,550 Reaction score 39,949 Nov 22, 2020 #21 Ulimwengu huu bado watu wanatumia deck na scratch kibao + low resolution.
Shark JF-Expert Member Joined Jan 25, 2010 Posts 29,775 Reaction score 29,746 Nov 24, 2020 #22 troublemaker said: Ulimwengu huu bado watu wanatumia deck na scratch kibao + low resolution. Click to expand... Ndomana namwambia ashushe tu hiyo bei, Flash na HDD zimechukua nafas ya deki now days
troublemaker said: Ulimwengu huu bado watu wanatumia deck na scratch kibao + low resolution. Click to expand... Ndomana namwambia ashushe tu hiyo bei, Flash na HDD zimechukua nafas ya deki now days
mimiks JF-Expert Member Joined Mar 17, 2013 Posts 1,416 Reaction score 2,794 Nov 24, 2020 #23 Mimi ningekua na hiyo elfu 30 ningekupa tu ndugu maana kuuza deki hiyo ni uongo kwa zama hizi. Pole Mungu akufanyie wepesi katika shida yako
Mimi ningekua na hiyo elfu 30 ningekupa tu ndugu maana kuuza deki hiyo ni uongo kwa zama hizi. Pole Mungu akufanyie wepesi katika shida yako
Mkogoti TAPELI Mkubwa Joined May 3, 2020 Posts 2,415 Reaction score 3,924 Nov 24, 2020 Thread starter #24 Shark said: Ndomana namwambia ashushe tu hiyo bei, Flash na HDD zimechukua nafas ya deki now days Click to expand... Mkuu nikishusha utanunua
Shark said: Ndomana namwambia ashushe tu hiyo bei, Flash na HDD zimechukua nafas ya deki now days Click to expand... Mkuu nikishusha utanunua
Mkogoti TAPELI Mkubwa Joined May 3, 2020 Posts 2,415 Reaction score 3,924 Nov 24, 2020 Thread starter #25 NAOMBENI JAMANI MWENYE ELFU THELASINI AU ELFU ISHIRINI NA TANO NAOMBA ANISAIDIE TOKA JUZI NAKWAMA TU NAJUA MODS WATANIPA BAN LAKINI SAWA 0674615883
NAOMBENI JAMANI MWENYE ELFU THELASINI AU ELFU ISHIRINI NA TANO NAOMBA ANISAIDIE TOKA JUZI NAKWAMA TU NAJUA MODS WATANIPA BAN LAKINI SAWA 0674615883
I imokola Senior Member Joined Aug 13, 2019 Posts 189 Reaction score 351 Nov 24, 2020 #26 jamaa kwa kulialia wewe duuuh Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app