Ramthods
JF-Expert Member
- Jun 2, 2009
- 515
- 187
Wana JF,
Kuna wadau wanaagiza used computers toka Netherland nilikutana nao kwenye pita pita zangu leo nikaona kuna ndugu zetu wale wa Internet Cafe, Mashule, nyumbani n.k ambao wanahitaji computer used.
Computer hizi zina specs zifuatazo:
Make DELL
Model OptiPlex
Series GX280
CPU Intel Pentium IV, 3.0Ghz
RAM 512MB (Can be upgraded on request)
HDD 80GB
Optical DVD ROM (nyingine ni DVD ROM CDRW)
Monitor DELL 17'' TFT
OS Microsoft XP Professional SP3
Price ni Tsh 480,000 kwa moja. Volume discounts zipo
Zimebakia 18 (leo hii) ila nyingine zinaweza kupatikana.
Pia wameniambia wanazo laptop za Samsung. Specification na bei bado sijazipata, ntaweka hapa punde nikizipata.
Kwa maswali zaidi, nitwangie 0713 809050 au ni PM.
Karibuni
(Picha zime-editiwa background)



Kuna wadau wanaagiza used computers toka Netherland nilikutana nao kwenye pita pita zangu leo nikaona kuna ndugu zetu wale wa Internet Cafe, Mashule, nyumbani n.k ambao wanahitaji computer used.
Computer hizi zina specs zifuatazo:
Make DELL
Model OptiPlex
Series GX280
CPU Intel Pentium IV, 3.0Ghz
RAM 512MB (Can be upgraded on request)
HDD 80GB
Optical DVD ROM (nyingine ni DVD ROM CDRW)
Monitor DELL 17'' TFT
OS Microsoft XP Professional SP3
Price ni Tsh 480,000 kwa moja. Volume discounts zipo
Zimebakia 18 (leo hii) ila nyingine zinaweza kupatikana.
Pia wameniambia wanazo laptop za Samsung. Specification na bei bado sijazipata, ntaweka hapa punde nikizipata.
Kwa maswali zaidi, nitwangie 0713 809050 au ni PM.
Karibuni
(Picha zime-editiwa background)


