Ivan watupa taarifa au wafanya nini? Mi binafsi cjakuelewa.kweli wanawake hampendan,madem wawili marafiki,mmoja kaolewa ,huyu alie olewa ameanza kutoka na boyfriend wa rafiki ake,tena katafuta sababu wakavunja urafik wao,pia anamshaur uyu boy friend amuache dem wake kwa kumpakazia mambo kibao,huyu dem hajui kama best ake anatoka na boyfriend ake,
kweli wanawake hampendan,madem wawili marafiki,mmoja kaolewa ,huyu alie olewa ameanza kutoka na boyfriend wa rafiki ake,tena katafuta sababu wakavunja urafik wao,pia anamshaur uyu boy friend amuache dem wake kwa kumpakazia mambo kibao,huyu dem hajui kama best ake anatoka na boyfriend ake,
kawaida yao sanaaaaaaaaaaaaaaa
si kawaida sana.
wanaume ndo kawaida kwao
Wanawake na wanaume wote ndio kawaida yao...