Davidmmarista
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,367
- 2,451
😂Kama mnakuwa na njaa muwe mnasubiri mnakula kwanza kabla ya kupost chochote.
Kweli kabisa mkuu wale Tu hata mihogoKama mnakuwa na njaa muwe mnasubiri mnakula kwanza kabla ya kupost chochote.
HeheheKama mnakuwa na njaa muwe mnasubiri mnakula kwanza kabla ya kupost chochote.
Uchwara ni nini mkuu?Je ni dem gani wa kuchagua kati ya wa kishua vs wa Uchwara?
View attachment 3241733
HahahahaHome of Great Thinkers
Sehem ya maisha ya chiniUchwara ni nini mkuu?
Ni uchawi au ni tusi la nguoni.
Mrange kabangeUchwara ni nini mkuu?
Ni uchawi au ni tusi la nguoni
Hahahahaha hahahaha 🤣 😂Mrange kabange
kitaalam hii inaitwa BRAIN HYPOXIA (ubongo kukosa oxygen), kuna kuwa na- significant impairment of various mental facultiesKama mnakuwa na njaa muwe mnasubiri mnakula kwanza kabla ya kupost chochote.
Hapo sawa mkuu, nikajua umetukana nilitaka nikuripoti kwa ActiveSehem ya maisha ya chini
Hehehehehehehe muongo sana wewe!!!!Hahahahaha hahahaha 🤣 😂
Uchague anayekupenda, sio unayempendaJe ni dem gani wa kuchagua kati ya wa kishua vs wa Uchwara?
View attachment 3241733
😂😂😂Misamiati mipya iyo
Unamtaka kwa matumizi yapi? kuoa au fashion show?Je ni dem gani wa kuchagua kati ya wa kishua vs wa Uchwara?
View attachment 3241733
KuoaUnamtaka kwa matumizi yapi? kuoa au fashion show?
Hapo sipingi mkuu.Hehehehehehehe muongo sana wewe!!!!