Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Usi pretend kuwa hujijui kuwa wewe ni mpuuzi wakati it's written all over you. That's why nimekuambia you always think you can outsmart people but the truth is you are just a joke.Ndugu nimefanya nini mbona huwi muwazi,
Ukiona hivyo ujue aligonganisha mabaharia, kikaumanaJF bhana, Demiss alibadisha ID akaitwa Muzine
Tunaanzia wapi kufa!! Maana ni tumekomaa mpaka tukakomaa tenaKwanza tukipigwa tunakufa??
Maana kuna vizito zaidi ya hivi tumepigwa navyo kichwani live tena juzi tu hapo still tuko strong as nothing happened😂😂
Sema huku ndani kuna kitu kikubwa sana nimejifunza leo aisee
Usi pretend kuwa hujijui kuwa wewe ni mpuuzi wakati it's written all over you. That's why nimekuambia you always think you can outsmart people but the truth is you are just a joke.
I will stop here for now. Until you make me go on.
Aisee we chalii imekuwaje unazozana na mchuchu?Usi pretend kuwa hujijui kuwa wewe ni mpuuzi wakati it's written all over you. That's why nimekuambia you always think you can outsmart people but the truth is you are just a joke.
I will stop here for now. Until you make me go on.
Becky ni mojawapo ya watu nawapenda na kuwakubali humu JF na wote nilishawaambia. Kama ana makosa yake ambayo kila mtu awe mimi au wewe tafadhari nikuombe yaishie uko.Seems like wewe dada una mambo mengi sana yakiwaki. Kuna nyuzi nyingi nimeonaga huko zamani zinahusu uduwanzi wako na other things you do behind the curtains. (Unajijua).
You do a lot of bs, you've got an attitude na kujiona kuwa you are very clever and you can outwit others. Mbaya all of these times unafanya your bs you end up proving yourself to be an absolute ah.
Remember the last time you fucked up? Juzi juzi tu hapa last month. Remember? Au niweke hapa?
Kwani hapa kuna nini kipenzi?Tunaanzia wapi kufa!! Maana ni tumekomaa mpaka tukakomaa tena
Tuzidi kujifunza 🤣 ndani kuzito sana humu...
Ilo funzo nilikute kule na mm nijifunze 😂
Sizozani babu ila namkumbusha asipretend kuwa yeye ni mwema wakati upuuzi wake unajulikana.Aisee we chalii imekuwaje unazozana na mchuchu?
Utanifanya kesho niache kwenye kutimiza wajibu na haki ya kunywa K Vant niufuatilie huu uzi kwa karibuSizozani babu ila namkumbusha asipretend kuwa yeye ni mwema wakati upuuzi wake unajulikana.
Wewe endelea na majuku yako babu mimi sina mpango wa kuendelea nimefanya kumkumbusha tu. Anahitaji reality check.Utanifanya kesho niache kwenye kutimiza wajibu na haki ya kunywa K Vant niufuatilie huu uzi kwa karibu
Nitajifanya vyovyote mwema ama sio mwema,nikuone utafanya niniSizozani babu ila namkumbusha asipretend kuwa yeye ni mwema wakati upuuzi wake unajulikana.
Kuna umuhimu nyuzi za hivi ziwepo mara kwa mara ili tuzidi kupata experience na kukumbushana yanayotokea huku kwenye jamhuri ya watu wa JF😁Tunaanzia wapi kufa!! Maana ni tumekomaa mpaka tukakomaa tena
Tuzidi kujifunza 🤣 ndani kuzito sana humu...
Ilo funzo nilikute kule na mm nijifunze 😂
Acha kumzodoa mjukuu wangu. Bado nampenda....Wewe endelea na majuku yako babu mimi sina mpango wa kuendelea nimefanya kumkumbusha tu. Anahitaji reality check.
Kampe reality check mkeo, nakuuliza tena nilifanya nini kwenye stories of change haujibu,sijui umenifananisha na nani,again CHUKUA TIMEWewe endelea na majuku yako babu mimi sina mpango wa kuendelea nimefanya kumkumbusha tu. Anahitaji reality check.
Hivi huyu mzee wa Uswizi yupo? Nae alikua na moto sanaBecky ni mojawapo ya watu nawapenda na kuwakubali humu JF na wote nilishawaambia. Kama ana makosa yake ambayo kila mtu awe mimi au wewe fadadhari nikuombe yaishie uko.
Alafu wakeleketwa humu hatuna shida na maisha binafsi ya mtu, tatizo letu ni pale maisha ya mtu yanapoathiri negatively maisha ya watu wengine. Mtu kama Demiss nimesema hapo hatuna shida nae ila mtu kama Parabora mzee wa Uswizi lazima tupambane nae, bila hivyo atatapeli watu. Mtu kama mzee wa tuvyombo twa usafiri ukiachana na sifa zake hakuwa na shida na mtu sasa unapambana nae wa nini
Usifanye hivyo bhana...Nitajifanya vyovyote mwema ama sio mwema,nikuone utafanya nini
Dah Parabora nimemkumbuka sijui ni jana baada ya kuona Uzi unasema 'ogopa sana watu wanaonyoa vipara.Becky ni mojawapo ya watu nawapenda na kuwakubali humu JF na wote nilishawaambia. Kama ana makosa yake ambayo kila mtu awe mimi au wewe fadadhari nikuombe yaishie uko.
Alafu wakeleketwa humu hatuna shida na maisha binafsi ya mtu, tatizo letu ni pale maisha ya mtu yanapoathiri negatively maisha ya watu wengine. Mtu kama Demiss nimesema hapo hatuna shida nae ila mtu kama Parabora mzee wa Uswizi lazima tupambane nae, bila hivyo atatapeli watu. Mtu kama mzee wa tuvyombo twa usafiri ukiachana na sifa zake hakuwa na shida na mtu sasa unapambana nae wa nini
WEKA HAPA, mbona umenyamaza??? Mpuuzi tu wewe..Seems like wewe dada una mambo mengi sana yakiwaki. Kuna nyuzi nyingi nimeonaga huko zamani zinahusu uduwanzi wako na other things you do behind the curtains. (Unajijua).
You do a lot of bs, you've got an attitude na kujiona kuwa you are very clever and you can outwit others. Mbaya all of these times unafanya your bs you end up proving yourself to be an absolute ah.
Remember the last time you fucked up? Juzi juzi tu hapa last month. Remember? Au niweke hapa?
Mzee siku hizi umevurugwa...Seems like wewe dada una mambo mengi sana yakiwaki. Kuna nyuzi nyingi nimeonaga huko zamani zinahusu uduwanzi wako na other things you do behind the curtains. (Unajijua).
You do a lot of bs, you've got an attitude na kujiona kuwa you are very clever and you can outwit others. Mbaya all of these times unafanya your bs you end up proving yourself to be an absolute ah.
Remember the last time you fucked up? Juzi juzi tu hapa last month. Remember? Au niweke hapa?
Alipoteana baada ya jopo likiongozwa na kubwa la maadui Ndizi mshale kumkamata. Kwanza kabisa mimi nilikuwa nishamkataa, tangu pale aliposema yuko club sijui kabambia mtoto wa kizungu kamuelewa ila akatokea Kiranga anayeijua Ulaya mwenyewe sasa, akamuuliza umeenda club gani wakati Switzerland ina lockdown kama wiki sasa? Hapo shutma za watu kuwa Parabora anaonewa wivu wengine walio nje hawatoi connection.Hivi huyu mzee wa Uswizi yupo? Nae alikua na moto sana