Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
naomba umpuuzie ni watu wasiopenda maendeleo yangu sina dhambi πWee nakuogopa, kna mtu alinitonya kuhusu wee tangu zaman mbna. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sweetheart unachat na nani?Aaa wapi kamwe katu haiwezi kutokea nalea wajukuu sasa kula kimasihara nimewaachia vijana.Ni ushamba kutoka na mtu kuja kumuanika jukwaani kwani sex kuna ajabu
Hebu wacha maneno mingi hebu niflash ule mtandao unaopatikana tarakimu zisome fasta ukajipoze na cider kadhaa kwanzaTenaa nakuja kweli ujue, [emoji23][emoji23][emoji23]
Af zawadi za stories of change, umekula peke ako? Ila wee babuu mbna hujui kulea mjukuu?
Shida mwanaume anaona hio ndo njia pekee ya kumkomoa mwanamke..!! Ukijidai Queen na watu wanakujua wanakushusha tu japo sio Poa kabisaaa...Aaa wapi kamwe katu haiwezi kutokea nalea wajukuu sasa kula kimasihara nimewaachia vijana.Ni ushamba kutoka na mtu kuja kumuanika jukwaani kwani sex kuna ajabu
hivi huyo mmakonde amekukosea niniππNyamazeni jameni msiongee kitu....
abego please...(Kwa kinge cha harmo)
Kausha basi mji mzito huu..[emoji23]Ukampika, ukampakua [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
aisee...jamaa hakumfanyia fair nilitaka nijue chanzo ni nini mpaka huyo jamaa akamfanyia hivyo
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Eehe kumekuchaaaSweetheart unachat na nani?
Kwani kabla ya kutumia hii ID ulikuwa unatumia ipi? Nijibu hata kwa PM kama unaogopa kumwaga mchele kwenye kuku wenye njaa
Nilikuwa natumia Hawaachi na niliwahi kusema hapa jukwaaniSweetheart unachat na nani?
Kwani kabla ya kutumia hii ID ulikuwa unatumia ipi? Nijibu hata kwa PM kama unaogopa kumwaga mchele kwenye kuku wenye njaa
Kuwa Na kifua wewe panchomkuu unayodhani sio kabisa naweza nikakupa na majina ya niliokutana nao humu wanajishaua na wengine wamama walinitongoza kabisa..
Yaani ni cheap sanaa
Eti kwa lazimaπ¬πJamaa alifanya fair, huyo dada alimnanga sana huyo kijana wa passport mpaka akatukwaza wengi....baada ya hapo akanyamazishwa kwa lazima.
Afu matembezi yenyewe sasa unayafanyia PM hukoππππ Ukikumbuka ulivokua unatembelea hizo id mwili wote unakufa ganzi.
unaenda kwa mbiti unatupia maneno, unarudi kwa manengelo unatupia vitu, unamfungua na wangari unatupia muneno mutamu mutamu πππ
Hii kali... kumbe kweli mimi fala sana.Nilikuwa natumia Hawaachi na niliwahi kusema hapa jukwaani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nibadili ili iweje tena babuuh? Hahahah wee anzisha tyuuh mbna.Nasubiria na wewe ubadili ID nikuanzishie uzi...
Ndio utajua hujui
Basi nimeacha naondokaKuwa Na kifua wewe pancho
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wala hata,naomba umpuuzie ni watu wasiopenda maendeleo yangu sina dhambi [emoji16]
Forum nzito sana hiiHumu kuna mdada mmoja tu nampenda kishenzi daima siwezi mzingua chochote hata akiniwakia..
Ila hawa wengine ni wa kutupa kwenye dustbin, kuna yule id yake ilikuwa inaanza na k mwisho ni i
Alinicheki pm akaniomba namba ya whatsap cha ajabu nikatongozwa akanipa picha anadai anakaa arusha na mumewe yuko serikalini akapiga video call sikupokea, picha yake ninayo naona niifute maana ni ujinga imepita muda.
Nilipomuona mdada mwenyewe nikamfikiria mumewe nikabaki kumuonea huruma jamaa tu..
Sometime Huruma inaniingia.
Cha ajabu saivi huyu Dada kabadili I'd anashinda mmu kule anadai hatoi papuchi kizembe kabisa anajiheshimu
Nacheka sanaa..
πππ