Nakumbuka tulikuwa vichaa sie shunieNa jina letu pendwa la pugi
Ndio nimeingia hata sijui naanzia wapi au au niendelee tuHehehee umeonaje kwanza ulikuwa unafatilia kimya kimya ee?
Kuna ulimpa utam akataka kumwaga mboga jukwaani?[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]...Mungu anilinde Mimi mwenzenu kaahh!!yaani nawaza wa kunilipua Mimi kati ya wale ni nani?!![emoji2][emoji2][emoji2]siongezi watu tena wanaonijua wanatosha naogopa balaa...!!!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Eeenh sasa hivi tumezeekaNakumbuka tulikuwa vichaa sie shunie
Sema kweli baba wawiliOLE OUT [emoji120][emoji120]
Inabidi tu nipande juu juu dada[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]...Mungu anilinde Mimi mwenzenu kaahh!!yaani nawaza wa kunilipua Mimi kati ya wale ni nani?!![emoji2][emoji2][emoji2]siongezi watu tena wanaonijua wanatosha naogopa balaa...!!!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Endelea tu ππNdio nimeingia hata sijui naanzia wapi au au niendelee tu
[emoji2][emoji23][emoji23][emoji23]mzima mremboo!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
πππ Ilishatumwaga humu lakini !!πππsijui kwanini nililala, sasa nimeamka imeshafutwa
Mnasoma kimyakimya tuHaka kauzi kanakimbia
Hahaha tulia,ndio tunaanza ligi sasaMmefurahi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] tuwaone games zijazo
Lol kumbe! Hapo upo sehemu salama best!![emoji23][emoji23][emoji23] Nipo rafiki na uyo wa kunifungulia uzi mbona hajazaliwa
Kweli mtoto mlito,Ole hatunaye tenaSema kweli baba wawili
Wanasema real men don't kiss and tell tulia uliowakula wakusifia buana mwanaume kujisifiasifia haijakaa poa eti[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Joking.[emoji4][emoji4][emoji4]nasemajeeee unaweza jikuta unanilambalamba Kwa ulimi wako mwili mzimaaaaaaa
Hata wakati huo pia sikuoina. Ila kiukweli kabisa ingekuwa vizuri ikiwa ntamfahamu mpambanaji na mfanya biashara wa madini wa hapa Jf.πππ Ilishatumwaga humu lakini !!
Nipo salama kabisa best na vp za wkndLol kumbe! Hapo upo sehemu salama best!!
Sisi hatuna cha kusema maana jukwaa letu ni tofauti na haya yenu.Mnasoma kimyakimya tu
Jukwaa lenu lipi?si muende hukoSisi hatuna cha kusema maana jukwaa letu ni tofauti na haya yenu.
Huyu jamaa alikuwa mshamba sana. .sasa ndio nini hii?Chuma alichompiga nacho hiki hapa.
_____
comment yangu,sijataja mtu,ila umejishitukia kuwa hizo ndiyo tabia zako,sasa ngoja nikupe ushaidi!
Wewe binti ni mtu wa ajabu sana! Nikianza kukuanika upuuzi wako hapa tunaweza kukesha!
Mimi nakujua kupitia kwa rafiki yangu mmoja hivi yuko dsm! Mara ya kwanza kabisa mlikutana morogoro sehemu moja inaitwa 88,mara ya pili mlikutana kibaha,mara ya tatu dsm! Huyo jamaa ni polisi lakini ana kazi nyingine, ana gari nyeusi aina ya Kluger, Na alikua anakufatilia kuhusu upuuzi wako wakuitukana serikali,na walipoona your not a threat walikuacha tu! Tena mara ya kwanza walikuita kule nane nane,kwenye majengo ya ufichoni sana,bila kujua na wewe ukaenda kweli! Jamaa alikufirimba na mwisho wa siku,akakuuliza gari umeacha wapi,mara ohh sijui gari imeisha mafuta nimeacha sehemu furani!
Basi yule bwana alipokuona huna maana alikuacha,akampa rafiki yake number zako,wewe si ulikua unatumia line ya tigo ya 0713 inaishia na 96?? Yule jamaa alikupigia simu,mkaongea then ukaomba nauli utumiwe kwamba ukimaliza kufua,utaenda,ukala pesa za watu bila hata ya kwenda! Ukaomba pesa za birthday ya mtoto wako! Ukatumiwa! Leo hii unaleta shobo hapa!
Kila siku unajifanya una maisha ya maana,kumbe choka mbaya tu,unashindwa kulipa hadi pesa za house girl wako,nyumba unaishi hata haijaisha,ndoa yako migogoro kila siku,shule hukumaliza,ulipigwa mimba,huyo kaka alikuacha sababu ya vituko vyako!
Eti nina mashimo ya migodi kakola! Hivi huoni hata aibu kudanganya,watu walishaanza kufatilia nyendo zako toka zamani,huna cha mashimo wala nini,Baba yako alikupa pesa ili walau mtoto wake usipate shida mjini,ukaenda kununua hivyo vifusi vya mchanga huko mgodini,uwe unasaga mawe, biashara haikuenda vizuri,mkafunga na hamkupata pesa hata kidogo,ULIVYO WA HOVYO,ukaenda kudanga kwa jamaa mmoja siwezi mtaja jina,naye biashara ikabuma,ukarudi nyumbani huna hata mia!!
Jamaa yangu juzi kakuona pale stand msamvu,huna mbele wala nyuma! Halafu eti unajitia fyoko fyoko hapa! Huna lolote wapige kamba wasiokujua! Na sasa hivi una number ya Airtel na halotel! Mme wako alishakufumania mara kibao,alishawahi kukupiga nusura ufe! Hebu acha shobo tukutunzie heshima yako! Watu walishaenda hadi kwenu ifakara kwa baba yako Mzee Ben! Naomba niishie hapa!