Demiss amepotelea wapi?

Unaupiga mwingi balaa
 
Unachoongea ni kwel mkuu...miaka mi 3 iliyopita nilikua na date mdada m1 singo mama umri wake ulikua 36 alikua kanipita umri kweri kweri..aisee alikua yeye ni kupenda kut***mbana mwanzo mwisho..alikua anarusha wota kama hana akil nzur...anajua kupika..anadeka balaa...ila tatzo lilikua moja tu..ana majukum meng na mwanae nikaona hapa nisipoangalia zigo lote nalibeba mim..manaa alikua anajiongelesha mambo ya ada kinoma noma
 
Kwaiyo mwamba ukachomoa [emoji23][emoji23]
 
Huu mwandiko nimeupenda aisee
 
Kwaiyo mwamba ukachomoa [emoji23][emoji23]
Nilianza kujitoa mdogo mdogo ingawa had leo nikitaka nakula...manaa kila siki namkwepa.yaan mim ndo namkimbia..kila siku namdanganya niko mkoa kikaz..hahah..na hana wivu hata kidogo..anajua naish na mtu..ye anasema wala nisijal..hahaha..ma singo mama hawanaga hiyana....
 
Kwa hii comment inaonekana we ni mmoja wa hao haters wa huyo dada ila km kawaida wabongo kwa unafiki hpo mwisho umemalizia na kaunafiki km kawa.
Nikunafikie wewe una nini na ni nani? Mtu nadiriki kumuita mbabaishaji then nimnafikie. Endelea kujipendekeza
 
[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkwe unatusagia kunguni eeeh
Shost npatie, mwenzio nateseka na ban za uonevu lol [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kabisa bila kupepesa macho.

Bwana JF atakuwa ni chovya chovya mmoja next level. Bahati mbaya tu hajajulikana...

Alijipost na kijukuu chetu cha JF 😊

Shost ukinisoma naomba tu uvunge 🀣🀣 usije waza kunivaa kabsa.
Prisca naomba koneksheni ya bwana jf ☺️
 

Ulimfanya matusi ama kweli dunia simama nishuke [emoji15]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…