Demiss amepotelea wapi?

Kipenzi changu sipo kabisa kwenye uzuri ujue utasababisha picha zangu nilizofanana na baba yangu zitupiwe

Mzigua na Dina habari nyingine mimi house girl wao tu nikiongozana nao
The definition of beauties [emoji7]
 
Kuna members kibao cwaoni ila kitaa nawaona tuu! Wanaishia kulalama JF kunawaganga njaa Sana. Na Kuna members 13 wamepitiwa na upepo wa Corona Kama mods watakubali niposti picha zao na id zao.
 
Kuna members kibao cwaoni ila kitaa nawaona tuu! Wanaishia kulalama JF kunawaganga njaa Sana. Na Kuna members 13 wamepitiwa na upepo wa Corona Kama mods watakubali niposti picha zao na id zao.
We post tu hakuna shida,ni vyema kujua ndugu zetu wangapi hatuko nao.
Covid sio mchezo kwa kweli
 
Aisee! Nyie watu mna mambo sana.
 
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana
 
[emoji102][emoji102]
 
Wow! It's been a long time saana tangu tupotezane guys.

Sijapata PM yako Dina, But nimeifurahi kukuona tena hapa.

Nna mengi ya kushare na wewe. Ngoja nikarefresh PM yangu tena.
Nafurahi kukuona hapa umetutelekeza jamani
Jamen nashindwa eti kukutumia pm ngoja nikaangalie ya zamani nikutumie
Umefunga pm fungua bana
 
Godoro litaoza
 
Nafurahi kukuona hapa umetutelekeza jamani
Jamen nashindwa eti kukutumia pm ngoja nikaangalie ya zamani nikutumie
Umefunga pm fungua bana
Ngoja nijaribu kuona what's wrong na PM yangu. Ila nna raha saana kukuona hapa.

Nikija Mwanza January. Lazma tutoke out fo party rafiki yangu wa dhati [emoji322][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…