Demiss amepotelea wapi?

[emoji39][emoji39][emoji39] I know. Tatzo binadamu wa sasa ni wabishi sana
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji854][emoji854][emoji854][emoji854][emoji854][emoji854]
 
Ukiisoma hiyo statement unajisikiaje bibie?[emoji23]
 
Sahihisha hapo Mkuu.."Anguko lake lilifurahiwana wengi."

Hivi ki binadamu unaweza kufurahia mabaya yanapompata mwingine? Wakati huo nani amejua yako/yangu?
Nadhani inahitaji moyo wa kishujaa sana..

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe mtoto wa kike kama sijakosea unaakili nyingi sana nimefatilia coment zako [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
"What happens in las vegas stays in las vegas"..... Mkishavuana nguo mnapaswa kulindana na kufichiana aibu, no one is perfect hata ikiwa ni nje ya humu.

Precisely, sio tu kuvuana nguo. Mkionana huko nje, yanabaki huko huko. Kama hakuna ulazima, sio sawa kuyaleta hapa.

Watu wakiamua kuanikana hapa itatokea vita kuu ya kwanza ya JF, ni kwa vile tu busara inatawala. Hakuna mtu anapenda kutwezwa utu au kudharauliwa kwa namna yeyote ile.
 
Wap waenda
 
Wakuu reymage we ni shost yangu sana ukiwa na Dinazarde kwa I'd yangu flan. Nimefurahi kujua ni wewe asee.
Naomba ni PM namba ya max nina shida nae niliwahi onewa na mod.
Kuhusu mada nimeogopa nilitaka nikamkule mmbulu mmoja ila kwa haya yanayohappen asee sitaki tena. C itabidi nipotee sina kifua cha kubeba aibu ndogondogo ....yani nikutunuku K halafu uje unilete kunianika hapa [emoji56][emoji56][emoji56][emoji56]nitakufa kabla ya siku zangu
 
Mfollow max insta ukimdm atakupa namba mim nishapoteza namba zake
 
Ndo naona Leo shoo!pole sana..mi nimeisahau kipenzi nilipoteza simu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…