Ukiungwa ni siri yako una enjoy joto ya jiwe na njugu za kila siku taratibu.Halafu muwage Serious wazee, mi nikajua kashaungwa kwenye Gridi ya taifa
Dah..Profesa Mshana Jr hahusiki kweli? maana....mmmh....ngoja niache tu[emoji2960]
Sent using Beretta ARX 160
[emoji25][emoji25][emoji25][emoji848][emoji848][emoji848][emoji30][emoji43][emoji30][emoji43]Mzee baba shem wamempiga shot kisa nini?
Sent using my Nokia Torch
Dah...[emoji15]Ukiungwa ni siri yako una enjoy joto ya jiwe na njugu za kila siku taratibu.
Hao wote wawili uliowataja ni watafuta kiki wa JF kwa mambo ya hovyo hovyo tu.Demiss ndiyo yule mke wa Mganga wetu wa JF?
Kula umeme nilifikiria kahamia Tanesco
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji30][emoji30][emoji30]
Usiniambie mzee baba yupo kwenye kamati ya ufundi.Dah..Profesa Mshana Jr hahusiki kweli? maana....mmmh....ngoja niache tu[emoji2960]
Sent using Beretta ARX 160
1. Ukiingia unajikuta huwezi kufungua app au browser... Ukija kucheki unakutana na ujumbe wa kupewa ban, sababu na muda wa banWenye uzoefu na ban, wanipe ufafanuzi apa, ukipewa ban unapewa notifications kuwa wamekuban na mda waliokuban vile vile wakikufungulia wanakupa notifications kuwa sas umeruhusiwa kuendelea
Ningekuwa mod ningelipa life banKuna watu wanaachwa kama Yule shoga
Sent using Jamii Forums mobile app
AhahahahahahApumzike amepost meseji 28000 na zaidi, ama kweli kuna watu ni jf expert members sisi wengine wazugaji tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Natamani na mimi nile umeme nionje utamu wake maana sijawahi kula ban hata ya kusingiziwa
Sent using Jamii Forums mobile app