Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Demiss alikuwa mchangiaji mkuu wa habari za mapenzi. Nakumbuka alishawahi kuolewa na GuDume hawakudumu hata week akaachana naye akaja akaolewa na Mshana Jr ndo hapo akapotea kabisa humu.
Hatujui kama yupo hai au alipatwa na kitu. Maana nmekaa tu nikamkumbuka hapatikani. Ila nina ujumbe wake plz tuwasiliane.
Na wanaume wa JF mkioa wanawake wa humu si vizuri kuwapiga marufuku kutumia JF au kuwataka wabadili IDs kama wasingekuwa humu mngewapata wapi? Na kama wangekatazwa hivyo ninyi mngewafagamia wapi?
@demiss please nitafute muda huu ni muhimu
Hatujui kama yupo hai au alipatwa na kitu. Maana nmekaa tu nikamkumbuka hapatikani. Ila nina ujumbe wake plz tuwasiliane.
Na wanaume wa JF mkioa wanawake wa humu si vizuri kuwapiga marufuku kutumia JF au kuwataka wabadili IDs kama wasingekuwa humu mngewapata wapi? Na kama wangekatazwa hivyo ninyi mngewafagamia wapi?
@demiss please nitafute muda huu ni muhimu