Bazazi
JF-Expert Member
- Aug 18, 2008
- 2,806
- 3,485
DPRK kwa ufupi ni Korea Kasikazini. Kiongozi wake Kim Jong Il amemtaja mtoto wake wa kiume wa tatu (third son) kuwa mrithi wake; jina halikutajwa.
Ni nini tafauti ya UKOMONISTI na UFALME maana wote wanarithisha watoto wao. Angalia CUBA.
Hivi neno DEMOCRASIA lina maana tofautitofauti kulingana na jamii?
Ni nini tafauti ya UKOMONISTI na UFALME maana wote wanarithisha watoto wao. Angalia CUBA.
Hivi neno DEMOCRASIA lina maana tofautitofauti kulingana na jamii?