so kikwete anaongoza kwa kuchaguliwa na minority du! Najua anaona aibu ila anashindwa kusema. Nadhani lowasa atachaguliwa na watu 2M tu 2015Huu ni UPUUZI, Watanzania tuko Million 45.
Waliojiandikisha kupiga kura eti ni Million 19
Waliopiga kura ni Million 8
Walio mchagua rais ni million 5
swali, Je Million 11 kwanini hawakupiga kura?
Utaratibu huu ni mbovu inabidi ufanyiwe marekebisho, hii ni kasoro kubwa sana kama tunataka kujenga demokrasia ya kweli. Wala nchi wanasema ni ushindi wa kishindo!!!!!!
Unachaguliwa na watu Million 5 ili uongoze watu million 45??!!
Tanzania has its own meaning of democracy
Huu ni UPUUZI, Watanzania tuko Million 45.
Waliojiandikisha kupiga kura eti ni Million 19
Waliopiga kura ni Million 8
Walio mchagua rais ni million 5
swali, Je Million 11 kwanini hawakupiga kura?
Utaratibu huu ni mbovu inabidi ufanyiwe marekebisho, hii ni kasoro kubwa sana kama tunataka kujenga demokrasia ya kweli. Wala nchi wanasema ni ushindi wa kishindo!!!!!!
Unachaguliwa na watu Million 5 ili uongoze watu million 45??!!
Tatizo hata kujiandikisha kupiga kura ni DEMOCRACY YA MTU........... asipojiandikisha hakuna tunachomfanyaHuu ni UPUUZI, Watanzania tuko Million 45.
Waliojiandikisha kupiga kura eti ni Million 19
Waliopiga kura ni Million 8
Walio mchagua rais ni million 5
swali, Je Million 11 kwanini hawakupiga kura?
Utaratibu huu ni mbovu inabidi ufanyiwe marekebisho, hii ni kasoro kubwa sana kama tunataka kujenga demokrasia ya kweli. Wala nchi wanasema ni ushindi wa kishindo!!!!!!
Unachaguliwa na watu Million 5 ili uongoze watu million 45??!!
Tatizo hata kujiandikisha kupiga kura ni DEMOCRACY YA MTU........... asipojiandikisha hakuna tunachomfanya
Kwenda kupiga kura ni DEMOCRACY YA MTU............................. asipopiga hakuna tunachomfanya
Tanzania has its own meaning of democracy
Tatizo hata kujiandikisha kupiga kura ni DEMOCRACY YA MTU........... asipojiandikisha hakuna tunachomfanya
Kwenda kupiga kura ni DEMOCRACY YA MTU............................. asipopiga hakuna tunachomfanya
Matata asante sana kwa kauli yako nzuri. Mimi kilichonitisha sana ni kile cha mwenyekiti na Katibu wa CCM kuchukua ndege hadi Mwanza kabla kura hazijahesabiwa. Kufika Mwanza na kuona mtu wao kashindwa na CHADEMA na kuwa akapatwa na heartattack, wakaondoka na kuelekea Shinyanga. Huko wakakuta yaleyale kwamba CHADEMA imeshinda. Wakatoa sanduku lenye kura zao za bandia na kumpa Mkurugenzi wa kutangaza matokeo na kumwambia: TANGAZA KUWA CCM IMESHINDA. Hata kijana wao wa CCM waliyekuwa wamemuweka pale akakana na kusema LAKINI JAMANI NI KWELI CHADEMA IMESHINDA. bado mwenyekiti na Makamba wake wakasisitiza kuwa ni CCM ndo imeshinda, bila ya kukumbuka hapo zamani Shinyanga kulitokea nini wakati Mwinyi alikuwa huko. Je hii ni demokrasia kweli? CCM walijua wazi kwamba mwaka huu wanashindwa lakini kwa kuwa wana malengo yao ya ufisadi wa miaka mitano ijayo, walitayarisha kadi za kura maalum tayari kwa kuziingiza ili JK ashinde. Kumbukeni lori lenye kura za Rais tayari lililotokea mpakani Mbeya na mjini musoma. Je hii kweli ni demokrasia? Wewe utasemaje umeshinda kugombea urais wakati bado vituo 9 vilikuwa havijamaliza kuhesabu kura ? Utasemaje umeshinda wakati ni 5 ya 45 milioni waliopkupigia kura? Kwa nini miji mingi mikubwa imechagua kuwapa kura CADEMA? Lazima watu wameona uppuzi wa CCM tangu Mwalimu afariki, sasa hivi CCM inaendeshwa na mafisadi na wezi wa mali ya taifa. JK kumbuka una kazi nzito mbele yako, kuongoza taifa ambalo halikubaliani na uongozi wako. Huyo katibu mkuu wa CCM ni mtu wa kuangalia zana. Alipokuwa mkuu wa wilaya ya Tanga alifanya nini? Leo ukienda Tanga utadhani ni kijiji wala si jiji.