Demokrasia: Mwanya wa Kwanza wa Rais Samia

Demokrasia: Mwanya wa Kwanza wa Rais Samia

Tman Clever

Member
Joined
Dec 20, 2012
Posts
39
Reaction score
29
Demokrasia kungojea uchumi ni kosa la karne kutamkwa na kinywa cha mheshimiwa Mama. Ni mshituko mkubwa kwa wapenda demokrasia mchini na Duniani kote.

Kwa muonekano wa sura iliyojawa na busara Tele ya mama yetu kipenzi, hakuna aliyetarajia kusikia alololitamka juu ya Katiba na mikutano ya hadhara ya kisiasa (Demokrasia).

Ni mengi Mazuri kayatenda ndani ya muda mfupi saana, kazungumza mengi Mazuri. Ila Kuna mshauri mmoja mbaya kamuingiza chaka mama.

Anahitaji kubadilisha watu wengi sana kwenye system.

IMG_20210629_111254.jpg
 
Anajua huko kwenye demokrasia ndio zitapigwa kelele nyingi za Katiba Mpya, na kwasababu ameshasema Katiba Mpya isubiri kwanza, kaona na hayo mambo ya demokrasia nayo yasubiri pia, mzanzibari mjanja sana.
 
Tulia dawa iwaingie kwanza, pasipo uchumi akuna democrasia,hata huko Ulaya wenye democrasia yao walijenga uchumi wao kwanza ndipo wakapanga jinsi ya kugawanya hiyo keki ya taifa, nyinyi mnataka democrasia pasipo uchumi mzuri ili mlete machafuko tu,.
 
Tulia dawa iwaingie kwanza, pasipo uchumi akuna democrasia,hata huko Ulaya wenye democrasia yao walijenga uchumi wao kwanza ndipo wakapanga jinsi ya kugawanya hiyo keki ya taifa, nyinyi mnataka democrasia pasipo uchumi mzuri ili mlete machafuko tu,.
Duh!

Kweli hili taifa Lina vilaza wengi.

Pro M. Assad Hakika alikuwa sahihi.

Yaani tuwe under dictatorship ndio uchumi upande?

Tuendelee na Katiba, sheria na Sera mbovu ndipo uchumi upande?

Hapana, watu wa nchi hii Kuna mahala tulimkosea Mungu, si kwa akili mbovu hizi
 
Duh!

Kweli hili taifa Lina vilaza wengi.

Pro M. Assad Hakika alikuwa sahihi.

Yaani tuwe under dictatorship ndio uchumi upande?

Tuendelee na Katiba, sheria na Sera mbovu ndipo uchumi upande?

Hapana, watu wa nchi hii Kuna mahala tulimkosea Mungu, si kwa akili mbovu hizi
Wewe ndio kilaza unayepelekeshwa na wanasiasa, Nchi kama China,urusi,mataifa yote ya kiarabu yamepiga atu kubwa pasipo democlasia hiyo unayoitaka, Democlasia ni kichaka cha wanasiasa wazembe wanaotaka kula bila jasho.Kenya wanayo Katiba mpya imeisha wasaidia nini?kama sio ufisadi mtupu na sasahivi wako wanataka kubadilisha vipengele,ili waendelee kugawana vyeo.Africa atuitaji Katiba tunaita strong man kama akina Gadaf, Magufuri,watu wenye maono, democlasia inachelewasha maendeleo.
 
Back
Top Bottom