Demonoid iko wazi kujiunga kwa leo tu.

waungwana nimefanikiwa kuwa member lakini tatizo ni kwamba sielewi jinsi ya kudownload nimejalibu kugonga sehem ya down load wapi inakataa nifundishe jamani ntatumiaje hiyo torrent

Mkuu unafahamu maana ya neno "Torrent"?
 
Mkuu unafahamu maana ya neno "Torrent"?

Mkuu nilijalibu kugoogle hilo neno nilielewa maaana yake lakini nataka nijue jinsi ya kudown load si maana ya neno pls kama wajua nishushie madude nakosa uhondo mwenzenu
 
Mkuu nilijalibu kugoogle hilo neno nilielewa maaana yake lakini nataka nijue jinsi ya kudown load si maana ya neno pls kama wajua nishushie madude nakosa uhondo mwenzenu

unahitaji a torrent software like µTorrent and you can get it here.
 
nani anialike jamani cuz is so great ili nipate code nijisajiri
 
Registrations are closed. If you have an invitation code, click here Username: Password: lost pass?

nimeshindwa kuendelea naona nimechelewa au kama kuna njia nyingine naomba muungwana yeyote anisaidie.
 
[*]
[/LIST]Registrations areclosed. If you have an invitation code, click here Username: Password: lost pass?

nimeshindwa kuendelea naona nimechelewa au kama kuna njia nyingine naomba muungwana yeyote anisaidie.
samahani Mkuu nimeishiwa Registration code nilipewa tano tu nazo zimeisha umeshelewa,ila usijali kesho nitakutumia.
 

wa-check leo naona wako open for registration
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…