Demu gani ni rahisi kumkamatia? Anayekunywa pombe au asiyekunywa pombe?

Money Penny

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2016
Posts
17,694
Reaction score
17,131
Kama kawaida road trip yetu na vijana wangu, wakawa wanabishana wanasema hivi "Demu asiekunywa pombe sio rahisi kumtongoza, kumvua chupi na kumla.

๐Ÿ™† Demu anaekunywa pombe ni rahisi sana kumvua chupi, kumla unavyotaka ukimpa chupa 3 za mnyama au konyagi ya 700 na nyama za kutosha"

Sasa sijui kuna ukweli katika haya maongezI au?

Wadau nisaidieni๐Ÿšถ๐Ÿšถ๐Ÿšถ

 
Weeeee๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿ˜‚
 
Walevi ni rahisi
Asiye kunywa hata kumuanza kutongoza ni shida ila walevi ni bia na dau kidogo
 
Acha uzinzi, punguza Ulevi, Corona bado ingalipo, na Ukimwi Unakunyemelea
Juu ya yote hayo Uchumi unabana mno, Bora uowe ili upumzika ,uanze Kutunza Familia
 
Acha uzinzi, punguza Ulevi, Corona bado ingalipo, na Ukimwi Unakunyemelea
Juu ya yote hayo Uchumi unabana mno, Bora uowe ili upumzika ,uanze Kutunza Familia
Huyu ni mdada. Mada zake nilizokutana nazo huwa ni za mapenzi. Ndo anavyotumia uhuru wake.
 
Acha uzinzi, punguza Ulevi, Corona bado ingalipo, na Ukimwi Unakunyemelea
Juu ya yote hayo Uchumi unabana mno, Bora uowe ili upumzika ,uanze Kutunza Familia
Asante Kwa taarifa
Watasikia wahusika
 
Kikawaida wanawake wanafanya maamuzi mepesi na mazuri kwa mwanaume akiwa amekula ameshiba vizuri. So wanaotumia bia inakuwa mteremko zaidi cuz analewa af unampiga na nyama, hapo unatengeneza njia vizuri.

Tuachane na hayo yote, vipi una muda tukapate dinner pamoja kama hutojali??
 


Umemvuta wee hatimae ujumbe wako umefka nikutakie kila la kheri wakishiba hawa jibu n YES tu
 
Nina jaki, sina muda pole
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ