Demu gani wa JF sio mchoyo

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Wakuu Kama mnavojua wanaume tupo na msisimko muda wowote iwe asubuhi,iwe kanisan,iwe popote hisia zipo karibu Sana.Sasa Mimi Leo na haka kamvua Hali ya hewa inaridhisha na kuruhusu ndo Sasa ninatamani Sana nipate papuchi Moja kutoka jf tugongane siku nzima .naulizia kwa uzoefu wenu hapa Jf nimtokee mdada gani ambaye hachomoagi,hakatai.tuambiane TU jamani Kama umewahi kwenda PM yake na hakukuangusha mkayapanga akakutunuku zaga vitu vizuri kula na wenzako.kama unaona Soo kumtaja hapa kwenye Uzi njoo pm nitonye kimyakimya Niko serious.
 
Hapana braza ila watu wamekimbia ID zao humu

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaogopa kuchekwa ama kuaibishwa eehhh......[emoji16][emoji16][emoji16]
Wanapaswa wakomae kama mimi ili mwisho wa siku ijulikane wapi pumba na wapi mchele....tehteehh
Tatizo la humu ndani people are acting kwamba wao ni perfect, na linapo tokea jambo la bahati mbaya wanajikuta wanakimbia ID zao na kusahau kwamba hata wao ni binadamu na wanapaswa kurekebishwa/kurekebisha na kila mmoja mwenye bado anaishi akumbuke tu kwamba makosa tuliumbiwa
 
Apia babe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi kwa upande wangu nimefake majina ya ID basi mengine yapo constant

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duhh....[emoji53]
Mbona bado asubuhi sana..!!??
By the way, kumbe humu Jf kuna madem eehhh..!!??[emoji53][emoji53]
Tatizo umeweka avatar ya kuwatisha ndio maana huwaoni [emoji41][emoji41][emoji2][emoji2]

Sent using Nokia 6
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…