Demu kanibania malove-davi!

ndo maana nasema MMU imevamiwa na "watoto"..
 

HIvi unaweza ku enjoy wakati unabaka mwanamke? Do you have any feelings if the same will be done to your sister, mother, daughter?
 
I wish huyo manzi Mkali awe ni Eliza wa Tegeta coz wangeendana sana na Idd l.o.l.
 

Kwani wewe unaonaje?
 
Hivi nyie vijana mbona mna dharau kiasi hichi?? Mnaboa sana na hizi lugha zenu kwakweli.......tena mnakeraaaaa!!

Lugha gani mzee usiyo ifahamu hapa?Au ndio ulikuwa mnafiki ujanani,na uzeeni unaelekea kwenye.......
 
pandisha kwanza suruali maana karibu inaanguka.
Afu huo mkono unaourusha rusha kama unaimba utulize maana wengine ni wazee humu.
Afu vaa shati hako ka singlend kachafu, bora uve shati.
Huto tu nyama twa kifua chako hatutoshi hata sambuza 2.

Umeuaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!
 
kitoto + sharobaro at work.
 
kwahiyo umevimbiwa maharage ya sikukuu umeamua kuja kuachia humu
 
pandisha kwanza suruali maana karibu inaanguka.
Afu huo mkono unaourusha rusha kama unaimba utulize maana wengine ni wazee humu.
Afu vaa shati hako ka singlend kachafu, bora uve shati.
Huto tu nyama twa kifua chako hatutoshi hata sambuza 2.


Nimeipenda hii mazee. Unamaanisha yuko kwenye bhalehe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…