Demu kauloga uume wangu. Msaada waungwana!!

We tofali unaongea kwa hisia utazani ulitombwa ww?cha msingi mshaulini kijana maana asipo piga mtu basi atapigwa yy

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForu
 
mmmh,unapenda papuchi namna hiyo.huwezi jua,dushelee kulala ni kwa faida yako mwenyewe,you never know.jipumzishe hayo mambo,jipe break kama miezi 6.anza upya uone itakuwaje.achana na chat,wacha dushelee ipate break
 
pole sana.
Sijui imani yako...lakini kwa imani yangu ningesema kuwa MWITE YESU KRISTO atakurejeshea kila kitu.
Unaweza kulifanya hili kwa kufuatilia maombezi yanayofanywa na nabii TB Joshua wa Emmanuel tv. Kama kwenye tv yako hushiki chaneli hii fuatilia maombezi yake kupitia mtandaoni.
Mwisho: Epuka kutazama picha za ngono/za uchi... hasa kwenye fesibuku na mitandao mingine.
 
sasa hiyo hatua ulofikia ndio nzuri,utaepuka vishawishi,pia utaepuka maambukz ya STI's hasa UKIMWI..TZ BILA UKIMWI INAWEZEKANA.

Amin, amin nawaambieni, msiogope ukimwi na std magonjwa ambayo yanaua mwili walakini yasiweze kuua roho, bali iogopeni dhambi ya zinaa yenye kuua mwili na kusababisha roho itupwe jehanam....!!!!
 
Fuata ushau wa Mzee wa Rula hapo juu,nice n easy,hapo ndio utakapojua uende hospitali,kwa mganga wa kienyeji,ule mizizi ya kimasai,utumie Viagra etc...
 
Pima na kisukari pia, nasikia hii kitu ina uhusiano mkubwa sana na haya matatizo ya erection. Fanya body check up mkuu, inawezekana kuna walakini somwehere
 
Yawezekana Mungu ameipiga pini kwa muda ili uache uzinzi wako maana unaonekana wewe ni balaaaa. Mrudie muumba wako akusamehe makosa yako ya uzinzi kisha utaona matokeo yake.
 
Mkuu.@Mkimbizi huru pole sana kwa kukuchezea huo mchezo Demu wako kwa sababu wewe umemkataa na wewe unawachukuwa mademu wengine na kumuache yey yote hayo kwa sababu kubwa ya wivu ,jaribu kuwasiliana na mimi kwa njia ya Email yangu hii fewgoodman@hotmail.com nitaweza kukusaidia inshallah.
 
Hakuna tatizo lolote ondoa uoga.....akili imeathirika na maneno ya vitisho uliyopewa. hebu kuwa jasiri kataa uwepo wa ndumba uone kama hujapiga mzigo mpaka uugue. acha mawazo ya kuwa hutaweza tena kufanya vizuri kwa sababu tayari umelogwa. akili inajituma vile wewe unaipa ishara na hisia. acha kumuwaza huyo mwanamke alieachana nae wakati uko na mwanamke mwingine utaona mambo yanakwenda shwari
 
Umejaribu maombi kwa watumishi wa Mungu...
Haha, akishaombewa arudi tena kujaribisha uzinzi kuona kama inafanya kazi? Huyu ni mzinzi na anatafuta tiba ya kuhalalisha uzinzi wake. Angekuwa ameoa tungemshauri maombi, maana baada ya hapo angkeuwa anarudi kupractice kwa mkewe.
 
huu ushauri wa kisheni unataka mwenzio kumuua si shauri hapo kwenye red
 
ww kama umeshajipanga kuwa na mke nenda kawaone watumishi wa Mungu na kama ni mkristo hata mimi nakushaurikama nyiondo tizama sana Emmanuel Tv ufwtilie maombi yake mana umbali sio kikwazo unaweza pata muujiza wako... pia tulia kwanza umtafute Mungu achana na Mademu na ukifanikiwa kupona tafuta Mke uoe km upo tayari... kumbuka mshahara wa dhambi ni mauti... kuzini na uasherati ni dhambi. Sugua goti Mwombe Mungu akurudihie uanamme wako.
 
kwisha habari yako mjini hapa
 

penye red ndipo ulipoharibu. Tobaaaaaaaaaaaaaaa
 
Piga punyeto achana na mademu full presha piga mapombe then demu wako wa ukweli mwaminifu punyeeee
 
Haya ni madhara ya kuchezea mabinti za watu na kuwatema. Kuna ambao wameaga kwao. Kubalini kataeni lakini kuna madawa ukifanyiwa iwe mwanamke au mwanaume unamalizwa nguvu kabisa. Mfano wa kweli, kuna mwanaume mmoja mtu mzima alioa binti kumbe binti alikuwa na kiboy chake. Kwa hiyo kiboy kikawa kinamwibia mzee na mzee akafahamu na akatuma wazee wenzie wakamkanye yule kijana. Kijana akapandisha mabega, sasa mzee alimkomesha akamtumia vidagaa, kila akienda haja ndogo akikamua wanatoka vidagaa tena wakitanguliza mkia kwa hiyo miiba inakukamata sawa sawa!!! Mwishowe kijana alifariki. Kwa mwanamke mume naye alikuwa kicheche sana, mke akaenda kwa wataalam wakamtengeneza, kila akienda kwa mwanamke akianza tu kuingiza tango lake kwa mwanamke basi anashangaa panya anaondoka nalo kwenye ceiling!!!! Haya mambo yapo hasa kwa makabila fulani sitataki kuyataja na wengi mnafahamu. Sasa basi mleta mada inawezekana kweli una tatizo lingine ila ninakushauri rudi kwa yule dada weka mambo sawa ila kama alikufanyia kitu hawezi kurejesha unless amekupeleka kwa yule mtaalam aliye mtumia au umpate mtaalam of moreless the same technology!!! Wenzangu wa Mwanza, Shinyanga, Tabora, Tanga, Pemba , n,k mpo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…