Demu ninayempenda hanitaki ila rafiki yake ananipenda balaaa!

Kisa cha kueleza kwa aya moja umeandika kama tamthiliya ya Alpasalan.

Ok mchukue huyo wa pili achana na kubembeleza mapenzi mtoto wa kiume ila ujue ukishamchukua wa pili wa kwanza ndo atajitokeza aanze kulaani kwa nini umefanya hivyo. Atakwambia alikuwa anakupima uvumilivu.

Wanawake hawajuagi wanachokitaka
 
Chukua rafiki yake umalize mchezo. Hujawahi ku approach demu halafu rafiki yake ndiyo connector, then ukaruka na huyo connector?
 
Ishi na anaekupenda achana na huyo mwingine
 
Nyie ndio mnaotuchelewesha hata kumaliza daraja la Kigogo Busisi....
 
Acha ufala, anza kumla Grace. Eliza akijua lazima ajilengeshe ili naye umle.

Hawa viumbe hawanaga akili. Huwa wanapenda sana pre selection.
 
Duuh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…