Mimi nashangaa sana......... Mpenzi wako ana katabia flani, wewe hukapendi badala ya kutafuta njia nzuri ya kumuelewesha kuwa wewe huipendi hiyo tabia, unakimbilia huku jf..... Funguka mdogo wangu, mueleweshe kinagaubaga bila ugomvi, akikuacha kwa sababu ya kumueleza ukweli, mshukuru Mungu kwani atakuwa hakufai. Communication is very essential kwenye mahusiana, sio unaumia kimoyo moyo tuu.