Demu wangu kaenda chuo!

"Block D" kwa IFM ni la wanaume
 
Tabia ya mtu ni usiku wa kiza. Kama ni wa kumegwa atamegwa. Wanawake wamekuwa warahisi sana siku hizi. Ila nakushauri usipende sana ukashindwa kufanya mambo yako. Mwanamke sio wa kumpenda asilimia hata 75%, always leave some for yourself lest some ---- goes down you wont be surprised. In the end, ni maamuzi ya huyo demu wako kugawa au kutokugawa punani yake. Endelea na mipango yako ya maisha, wanawake wako wengi sana. Don't you ever let your life revolve around a woman.
 

Word!! Thanks a lot comrade..
 

Acha hizo kaka. Kugawa puntang ni tabia ya mtu. Nina "friends" wawili ni wavaa hijab wazuri lakini wanatoa mambo kama hawana akili nzuri vile. Hili pepo la ngono transcend religious affiliations. As they say out West "they are all pink inside". He he he.
 
so unataka abaki mbumbumbuuu kisa relatioship yako ww? mbona ww ulienda na umerud na hata yy pia mwache aend na atarud la msing ni kuweka makubaliano baina yenu! ni kwel wanawake wooote huwa wakienda vyuon ni lazma waaanzishe relationship mpya???

thats very true indeed...utakuta mdada hostel kaweka picha ya boy friend wa home kwenye loka, lakini bado ana mchizi mwingine ana flirt nae chuo na baadae wanaanza kumegana.
watoto wengi wa Udom, Udsm na Mzumbe ndio maisha yako.
 
Jamani nimemaliza chuo fulani hapa degree maisha ya wadada wa vyuoni naipatapata, mchumba wangu pia kaenda chuo this year.. Je nina mtu hapo au nitafute mwenzangu aliyepo uraiani tuu??

Serious ushauri is needed!!
Pole sana mkuu
 
Mmh
 
lekcha.....
bodaboda.....
mjeda....
polisi....
muuza chipsi.....
muuza vibodi.....
muuza ulembo....
mmiliki hostel....
brazameni wa chuo....
WOTE HAO WAKIMKOSA NJOO KWANGU.......
 
Duuh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…