Dena Amsi Banned!

Elia

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2009
Posts
3,425
Reaction score
568
Wakuu nikitaka kujua au kupata thread iliyo mfanya mwan jf kuwa banned nifanyeje..? D-A ni mmoja kati ya wanafamilia ambao wanauwezo mkubwa wa ku contain/absorb shoks wanapokuwa provoked. Ningependa kujua yalio msibu Dada DenaAmsi na ni ban ya muda gani? nimeshaanza kummiss.
 
Hata mimi nataka kufahamu. Swali zuri sana ngoja tusubiri majibu
 

hii sred labda ingekuwa kny complains tungepata majibu kwa urahisi
 
Gooosh!...
I cant believe this!

Huu purely ni MSIBA kwa JUKWAA LA MMU!


Thread hii itawakusanya members wote waaminifu wa JUKWAA LILE!...huh!
 

Duh i see Painkiller sio wa kumchezea
Pole D.A naamini umepewa BAN ya haki ukilejea mambo yataenda mswano.
 
Aaaahhh jamani? No! no!no! Ntammiss sana juzi jana tu alikuwa busy na Kokudo.
 
HAMNA haja ya kuambiwa sababu,moderators wanainyosha JF,ikiwezekana piga kwa sana life bans-tunaitaka JF original
 
si tulikuwa nae kwenye harambee jana tu....duh!:A S 13:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…