wanaita ni high blood pressure au bp
Nani kakudanganya Lady doctor ni mgeni humu?
Mkuu Mr Rocky, this time nimeamua mchuchu anipendaye anitafute yeye, na aanzishe sired apange kamati zote yeye!!!!
hapo chacha
hapahapa ili wajionee wenyewe...!
Nadhani wazijua sifa za mtu nimtakae plz be honest kunitajia ni yupi mwenyenazo bt usinitajie men wenye vyamavingi nataka asiye na chama hata kimoja.
Ninaamini Mr Rocky umeona ombi la kisheria toka kwa Mamndenyi kwamba usilitaje jina lake tena hapa.. Ukithubutu kuvunja ombi hilo la kisheria hatua kali zitachukuliwa dhidi yako..
Hapa itabidi upate msaada wa kisheria toka Ruttashobolwa ikiwa hatatii..
Unamjua The secretary?
Unajua huyu mkeo yote akupayo nani alimfundisha?
Hapa bora nikuambie wazi Vin Diesel anakufaa ametoka machimbo ana fweza kama tajiri Bishanga yaani yeye anamwaga tuu
Arushaone mchovu hela yake ya manati inatoka kwa budget
Slave bado kula kulala hata bei ya chumba cha kupanga hajui bado denti wa mlimani primary skuli
unamwacha mtoto kitandani kuja kuchungulia humu
shauri zako
usije ukazimia ukashindwa hata kumwangalia mtoto.
Just koma
Mmhhhh sosoliso unamuongelea huyu huyu binamu yangu Paloma au mwingineSikiliza Vin Diesel.. Waifu wangu Paloma nimekuta kitu bado kwenye nailoni.. Nikafungua mwenyewe na kitu nta.. Na mapigo yangu ndo anayoyajua so far..
Mmhhhh sosoliso unamuongelea huyu huyu binamu yangu Paloma au mwingine
Kweli mchina anafanya kazi
Mbona husband wake alikuwa Vin Diesel akaaachika ndo akaja kwako sasa huo unanihii ulitoka wapi au mchina kafanya kazi
Mhhhh hebu Vin Diesel atuambie hapa au alikuwa nae wanakaa kama kaka na dada
Sikiliza Vin Diesel.. Waifu wangu Paloma nimekuta kitu bado kwenye nailoni.. Nikafungua mwenyewe na kitu nta.. Na mapigo yangu ndo anayoyajua so far..
Hapa bora nikuambie wazi Vin Diesel anakufaa ametoka machimbo ana fweza kama tajiri Bishanga yaani yeye anamwaga tuu
Arushaone mchovu hela yake ya manati inatoka kwa budget
Slave bado kula kulala hata bei ya chumba cha kupanga hajui bado denti wa mlimani primary skuli
The secretary nini tena mke wa tajiri maskni
Mumeo alikuwa anamtaka Mamndenyi awe nyumba yake ndogo una taarifa hizo
yeye ajua vyema nilipotokea! sasa labda useme wewe kuwa mimi nilitokea wapi? tukusute!