Dena Amsi na Mr Rocky

Muite! tena ndio ninayemtaka maana sisi ndo mawifize.....tuna maneno ya kumpa!!!

Amelala muda huu hataki usumbufu wala fujo amechoka sana kwa shughuli za jana usiku Paloma
 
Last edited by a moderator:
Dena Amsi unamuona Paloma alivyo mchokozi hapo huu eti anataka nikuamshe wakati hajui ulivyochoka aise
 
Last edited by a moderator:
We muache tu atakuja kutembea weekend hata maji ya kunywa hapati


aaah jamani wifi hutaniwi!!! mie nimeona uko kiiimya ikabidi nitumie mbwembwe zote walau uje unene nasi kidogo! maana kwa uzuri wako.....ukiongea....sauti yako...ukiachia tabasamu....meno yako sasa.......yani mtu anatamani kukuangalia tuuuu! ndo mana binamu yangu karudhisha majeshi!!! Huyo ndo Dena Amsi banaaaa..........si ndio binamu Mr Rocky
 
Last edited by a moderator:

Ha ha ha ha DA like this post
 
Chocs hivi huyu jamaaa samahani hiki kijamaaa kinaitwa Erickb52 yuko jela gani maana sijamuona muda sana aise
 
Last edited by a moderator:
Mi penda wewe sana Paloma kwa sifa hii kwa my wife wangu Dena Amsi
Mi penda yeye sana
 
Last edited by a moderator:
Chocs hivi huyu jamaaa samahani hiki kijamaaa kinaitwa Erickb52 yuko jela gani maana sijamuona muda sana aise
Nimeamua kumfungia my Erickb52 b'se watu wanamtamani sana mpaka wanamtafutia wachumba wakati mke nipo
Afu tuheshimiane asee sio kijamaa..!!
 
Last edited by a moderator:
Nimeamua kumfungia my Erickb52 b'se watu wanamtamani sana mpaka wanamtafutia wachumba wakati mke nipo
Afu tuheshimiane asee sio kijamaa..!!

Kijamaaa bana we si unakijua ni jamii ya penda penda Chocs
 
Last edited by a moderator:
karibu Mr Rocky nimetulia sana ujui tu wagonjwa wanavyonigombaniaga sina papara, ila uje ukiwa peke yako

kabisaa umetulia tuli kama maji ya mtungini, uchomapo sindano wala hujigusi na wala utikisiki, basi tu walikuwa hawajaligundua hilo, ngoja nitakupostia nawengine shost kama Kaizer na Arushaone
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…