Lady doctor
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 8,756
- 7,005
karibu Mr Rocky nimetulia sana ujui tu wagonjwa wanavyonigombaniaga sina papara, ila uje ukiwa peke yako
hala hala...... Usije ukapumulia mashine, kama babu Asprin nakuonea huruma ujue...... Mimi tiba yangu heavy.
Lady doctor ugonjwa wa Slave unaujua
Ana ugonjwa wa upungufu wa pesa mfukoni sijui kama una tiba yake na mwingine wa ukosefu wa hamu ya kupiga busu sasa sijui tiba zake unazo
Arushaone anaumwa ugonjwa wa kushindwa kwa seal zake za kuuza bangi una dawa zake kweli
sindio maana sitaki kuwatibu Mr Rocky ......... Wanamagonjwa makubwa kuliko professional yangu.
Hahahaha bora nije mimi nina ugonjwa mdogo sana wa kupenda wala hauhitaji matibabu makubwa Lady doctor
Hahahaha bora nije mimi nina ugonjwa mdogo sana wa kupenda wala hauhitaji matibabu makubwa Lady doctor
akija na mkewe tiba itakuwa haifanyi kazi, yeye peke yake
ni mimi nina dalili za kuzimia
kutokana na #905 hapo juu
Masharti ya dokta ni magumu dah nyie shansarie na Lady doctor ngojeni kwanza nisiskass na my wife wangu Dena Amsi ndo anipe ushauri kama nije nipate tiba au nisije
Halafu kama mambo yenyewe ni kuwa unaingia thieta ukiwa mzima ila kutoka unakojotwa ni balaaa