Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Wakuu,
Ifikie muda tuache ku-judge wanasiasa kwa kutujengea vyoo na mabarabara.
Unakuta mwanasiasa anaenda kukopa World Bank na IMF alafu anaenda kujenga shule na zahanati
Kibaya zaidi anaenda kukopa hela ambayo mpaka anamaliza muda wake wa uonogozi hawezi kuilipa.
Hivi kuna kitu rahisi duniani kama kukopa na kwenda kufanya miradi? Hapo ni akili gani imetumika?
Hizi hela wanazokopa serikali ni kama kurithishana uchawi tu. Wanasiasa hawafikirii kuongeza vyanzo vya mapato, wanategemea mikopo ambayo kiongozi mwingine ndio anakuja kulipa.
Bunge lipitishe sheria kuweka kikomo cha Rais na awamu yake kukopa.
Deni lolote ambalo kulipwa kwake litazidi zaidi ya miaka 5 linatakiwa kuwa batili
Ifikie muda tuache ku-judge wanasiasa kwa kutujengea vyoo na mabarabara.
Unakuta mwanasiasa anaenda kukopa World Bank na IMF alafu anaenda kujenga shule na zahanati
Kibaya zaidi anaenda kukopa hela ambayo mpaka anamaliza muda wake wa uonogozi hawezi kuilipa.
Hivi kuna kitu rahisi duniani kama kukopa na kwenda kufanya miradi? Hapo ni akili gani imetumika?
Hizi hela wanazokopa serikali ni kama kurithishana uchawi tu. Wanasiasa hawafikirii kuongeza vyanzo vya mapato, wanategemea mikopo ambayo kiongozi mwingine ndio anakuja kulipa.
Bunge lipitishe sheria kuweka kikomo cha Rais na awamu yake kukopa.
Deni lolote ambalo kulipwa kwake litazidi zaidi ya miaka 5 linatakiwa kuwa batili