G-son
Member
- Sep 5, 2008
- 68
- 17
Wana JF Habari. Jana maada hii niliipelekwa kwenyejukwaa la "COMPLAINTS" nikashauriwa niilete hapa kwani ndo mahali pake ssahihi.
Ni kwamba nimekuwa nikijiuliza swali moja kuhusu uchumi wa nchi yetu. Mara nyingi nimesikia kwenye vyombo vya habari kuwa deni la nchi linaongezeka kwa kasi. Nikirejea kwa wananchi wa kawaida pindi mtu anaposhindwa kulipa deni mara nyingi huuziwa baadhi ya vitu vyake (hasa visivyo hamishika kama shamba, vyumba n.k.) ili kufidia deni lote au angalau kiasi cha deni.
Sasa swali langu la msingi hapa ni NINI HATIMA YA DENI LA NCHI KUKUA? NA UKOMO WA DENI ILI TUSIKOPESHEKE NI KIASI GANI? NA JE NI NJIA GANI NCHI HUTUMIA KUPUNGUA MADENI YA NCHI?
NATANGULIZA SHUKURANU ZANGU ILI NIELIMISHWE
Ni kwamba nimekuwa nikijiuliza swali moja kuhusu uchumi wa nchi yetu. Mara nyingi nimesikia kwenye vyombo vya habari kuwa deni la nchi linaongezeka kwa kasi. Nikirejea kwa wananchi wa kawaida pindi mtu anaposhindwa kulipa deni mara nyingi huuziwa baadhi ya vitu vyake (hasa visivyo hamishika kama shamba, vyumba n.k.) ili kufidia deni lote au angalau kiasi cha deni.
Sasa swali langu la msingi hapa ni NINI HATIMA YA DENI LA NCHI KUKUA? NA UKOMO WA DENI ILI TUSIKOPESHEKE NI KIASI GANI? NA JE NI NJIA GANI NCHI HUTUMIA KUPUNGUA MADENI YA NCHI?
NATANGULIZA SHUKURANU ZANGU ILI NIELIMISHWE