johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Nimeunda Tume maalumu ya kushughulikia deni la Taifa Ili tubaini mambo matatu
1. Tulikopa kiasi gani cha Fedha na kwa sababu gani
2. Miradi gani iliyotekelezwa kwa Mikopo hiyo na iko katika hali gani
3. Ni nani walibariki Mikopo hiyo na kwa Mamlaka gani ya kikatiba
Tukishajua haya Wananchi watajulishwa na wao ndio watatoa maamuzi ni hatua gani zichukuliwe zaidi ya zile za kisheria zilizopo
Hayo yamesemwa Kanisani Leo na Rais Ruto
Source: Citizen TV
1. Tulikopa kiasi gani cha Fedha na kwa sababu gani
2. Miradi gani iliyotekelezwa kwa Mikopo hiyo na iko katika hali gani
3. Ni nani walibariki Mikopo hiyo na kwa Mamlaka gani ya kikatiba
Tukishajua haya Wananchi watajulishwa na wao ndio watatoa maamuzi ni hatua gani zichukuliwe zaidi ya zile za kisheria zilizopo
Hayo yamesemwa Kanisani Leo na Rais Ruto
Source: Citizen TV