Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
Hii ni zaidi ya hatari!
Japokuwa wanaendelea kujitetea kwamba deni la taifa bado ni himilivu lakini ukweli kama Nchi tunadaiwa pesa nyingi sana na hali hiyo lazima inaipa wakati mgumu Serikali kukusanya mapato yake.
Sipati picha ongezeko hilo lingetokea wakati wa Utawala wa JPM!
Japokuwa wanaendelea kujitetea kwamba deni la taifa bado ni himilivu lakini ukweli kama Nchi tunadaiwa pesa nyingi sana na hali hiyo lazima inaipa wakati mgumu Serikali kukusanya mapato yake.
Sipati picha ongezeko hilo lingetokea wakati wa Utawala wa JPM!