Usicheke ndio viongozi wetu walivyo
Halafu kina 254 wanakuja hapa na kujifanya hali ni shwari huko kwao!
Hata dawa zikizidi unabadili namna ya kuzitumia.Tunawakaribisha sana wachina waichukue Kenya yote wajenge miundo mbinu hadi kule Turkana vijana wetu wapate kazi. ππ