Denmark wagundua Dawa ya UKIMWI/HIV/AIDS, Kusambazwa punde, ARV basi

Waache siasa kama za Mwigulu Nchemba na wao kila siku wanatupa waafrika matuamini tu lakini hamna kitu
 
unamawazo madogo sana ukimwi si kwenye uzizi tu mkuu kuna watu wamezaliwa na hiv so tafakari kbla ujachangia...

Mkuu kuna watu wengine akili zao zinawatosha wao na familia yao tu! Hazina msaada nje ya hapo! Yeye anafikiria wanaougua ukimwi ni wazinzi tu. Hajua kuna wake/waume wanaletewa na wenza wao, hajui kuna watu wanaambukizwa kwa kubakwa, hajui kuna watoto wanazaliwa nao -kama ulivyomwambia, hajui kuna watu wanaambukizwa kwa bahati mbaya wakati wakiuguza au hospitalini wakati wanatibu/kutibiwa, hajui hata hao wazinzi wengine wakikupa back-ground zao utatoa machozi!
 
Tusubirie kuona tena misururu kama ya kuelekea Loliondo, kwa babu...
 
Tumesikia mengi mambo kama haya. Sasa hivi ni kama burudani tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…