Pre GE2025 Deo Mwanyika, Mbunge Njombe Mjini anasema alitumia fedha zake binafsi Milioni 400 katika miradi ya maendeleo, wanazitoa wapi hizi fedha?

Pre GE2025 Deo Mwanyika, Mbunge Njombe Mjini anasema alitumia fedha zake binafsi Milioni 400 katika miradi ya maendeleo, wanazitoa wapi hizi fedha?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
"Nikajifanyia tathmini mimi mwenywe kwamba hivi mimi Mbunge mchango wangu ni upi kwenye kuhakikisha kwamba mambo mengi yanafanyika na kwakweli nilimuambia Mke wangu nasoma hapa asisikitike maana yake hela hizi ni za familia, Njombe mumshukuru maana nayasema naye amekubali anataka tuendelee kutoa huduma kwa Wananchi wa Njombe na kwa hesabu ya haraka haraka wakati ule nilikuwa nimetumia TSH. Milioni 400 za mfukoni mwangu katika miradi ya maendeleo" Deo Mwanyika, Mbunge wa Jimbo la Njombe Mjini.

Soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

 
Huyu Ndugu alikuwa Vice President Africa Barrick. Hizo ni pesa ndogo sana kwake.

Amandla...
 
pato la mbunge kwa mwaka yani pure fedha zinazoingia kwenye account jumla ni 1.2 billion

bima free kodi free mafuta free ulinzi free pesa ndogo kwake hio
 
Back
Top Bottom