The Watchman
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 896
- 1,427
"Nikajifanyia tathmini mimi mwenywe kwamba hivi mimi Mbunge mchango wangu ni upi kwenye kuhakikisha kwamba mambo mengi yanafanyika na kwakweli nilimuambia Mke wangu nasoma hapa asisikitike maana yake hela hizi ni za familia, Njombe mumshukuru maana nayasema naye amekubali anataka tuendelee kutoa huduma kwa Wananchi wa Njombe na kwa hesabu ya haraka haraka wakati ule nilikuwa nimetumia TSH. Milioni 400 za mfukoni mwangu katika miradi ya maendeleo" Deo Mwanyika, Mbunge wa Jimbo la Njombe Mjini.
Soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Soma: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025