Deo Mwanyika: Wanywaji wa Bia wamepungua, hali yatishia kukua kwa Uchumi wa nchi

Deo Mwanyika: Wanywaji wa Bia wamepungua, hali yatishia kukua kwa Uchumi wa nchi

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Makusanyo ya mapato ya makampuni ya bia nchini yameshuka kwa karibu asilimia 20, hali inayoonekana kusababishwa na kupungua kwa wanywaji wa bia kufuatia ongezeko la ushuru wa bidhaa lililowekwa na serikali. Ongezeko hili la ushuru limewafanya wanywaji wengi kuhamia kwenye vinywaji mbadala ambavyo vinaweza kuwa na madhara makubwa kiafya.

Akizungumza bungeni leo, Mbunge wa Njombe Mjini, Deodatus Philip Mwanyika ameeleza kuwa hali hii ina athari kubwa si tu kwa afya ya wananchi, bali pia kwa uchumi wa taifa.
Soma pia: Kinachoendelea katika Mkutano wa 17 wa Bunge la 12, Kikao cha 8 Novemba 7, 2024 Asubuhi
 
Makusanyo ya mapato ya makampuni ya bia nchini yameshuka kwa karibu asilimia 20, hali inayoonekana kusababishwa na kupungua kwa wanywaji wa bia kufuatia ongezeko la ushuru wa bidhaa lililowekwa na serikali. Ongezeko hili la ushuru limewafanya wanywaji wengi kuhamia kwenye vinywaji mbadala ambavyo vinaweza kuwa na madhara makubwa kiafya.

Akizungumza bungeni leo, Mbunge wa Njombe Mjini, Deodatus Philip Mwanyika ameeleza kuwa hali hii ina athari kubwa si tu kwa afya ya wananchi, bali pia kwa uchumi wa taifa.
Soma pia: Kinachoendelea katika Mkutano wa 17 wa Bunge la 12, Kikao cha 8 Novemba 7, 2024 Asubuhi
Kisungura indio habari ya mujini kwasasa
 
Hiyo ndiyo Hali halisi ya uchumi.kila sehemu imepungua japo kuwa Kuna vichaa wanadai uchumi umekua
 
Makusanyo ya mapato ya makampuni ya bia nchini yameshuka kwa karibu asilimia 20, hali inayoonekana kusababishwa na kupungua kwa wanywaji wa bia kufuatia ongezeko la ushuru wa bidhaa lililowekwa na serikali. Ongezeko hili la ushuru limewafanya wanywaji wengi kuhamia kwenye vinywaji mbadala ambavyo vinaweza kuwa na madhara makubwa kiafya.

Akizungumza bungeni leo, Mbunge wa Njombe Mjini, Deodatus Philip Mwanyika ameeleza kuwa hali hii ina athari kubwa si tu kwa afya ya wananchi, bali pia kwa uchumi wa taifa.
Soma pia: Kinachoendelea katika Mkutano wa 17 wa Bunge la 12, Kikao cha 8 Novemba 7, 2024 Asubuhi
Pigo kubwa sana
 
Hiyo faida iliyopungua kwenye bia imerudi maradufu kwenye sungura. Makampuni ya sungura yanapata super profit
 
Hayuko serious huyu..!! Watu wanakunywa hadi zinaadimika.
 
Makusanyo ya mapato ya makampuni ya bia nchini yameshuka kwa karibu asilimia 20, hali inayoonekana kusababishwa na kupungua kwa wanywaji wa bia kufuatia ongezeko la ushuru wa bidhaa lililowekwa na serikali. Ongezeko hili la ushuru limewafanya wanywaji wengi kuhamia kwenye vinywaji mbadala ambavyo vinaweza kuwa na madhara makubwa kiafya.

Akizungumza bungeni leo, Mbunge wa Njombe Mjini, Deodatus Philip Mwanyika ameeleza kuwa hali hii ina athari kubwa si tu kwa afya ya wananchi, bali pia kwa uchumi wa taifa.
Soma pia: Kinachoendelea katika Mkutano wa 17 wa Bunge la 12, Kikao cha 8 Novemba 7, 2024 Asubuhi
Labda wameokoka?
 
Back
Top Bottom