Deodatus Balile acha kudhohofisha uhuru wa tasnia ya habari, nyie sio kondoo wa Waziri au Serikali

Deodatus Balile acha kudhohofisha uhuru wa tasnia ya habari, nyie sio kondoo wa Waziri au Serikali

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Nimemsikia Balile anasema waziri wa habari Jery Silaa ni mchungaji wao na wao vyombo vya habari ni kondoo wake waziri! Haya ni maajabu na hii ni kauli ya hovyo sana. Utaiwajibishaje serikali kwa mtazamo kama huu?!

Huyu mwenyekiti wa jukwaa la wahariri Tanzania(TEF) ni kama haielewi kabisa umuhimu wa vyombo vya habari kuwa huru kutoka mkono mrefu wa serikali, sijui ni kwa maslahi yake binafsi au upeo wake finyu wa kuelewa kwamba vyombo vya habari ni watchdog au fourth estate ya kuiwajibisha serikali yote kwa ujumla!

Pia soma Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF): Waziri Silaa ameshindwa kuwa karibu na Waandhishi wa Habari
 
Nimemsikia Balile anasema waziri wa habari Jery Silaa ni mchungaji wao na wao vyombo vya habari ni kondoo wake waziri! Haya ni maajabu na hii ni kauli ya hovyo sana. Utaiwajibishaje serikali kwa mtazamo kama huu?!

Huyu mwenyekiti wa jukwaa la wahariri Tanzania(TEF) ni kama haielewi kabisa umuhimu wa vyombo vya habari kuwa huru kutoka mkono mrefu wa serikali, sijui ni kwa maslahi yake binafsi au upeo wake finyu wa kuelewa kwamba vyombo vya habari ni watchdog au fourth estate ya kuiwajibisha serikali yote kwa ujumla!

Pia soma Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF): Waziri Silaa ameshindwa kuwa karibu na Waandhishi wa Habari
Chawa!!!
 
Afundishwe namna njema ya kupangilia maneno awapo mbele ya kadamnasi.Haelewi hata kwa nini kitaalamu vyombo vya habari vinaitwa nguzo ya nne ya serikali.
 
Nimemsikia Balile anasema waziri wa habari Jery Silaa ni mchungaji wao na wao vyombo vya habari ni kondoo wake waziri! Haya ni maajabu na hii ni kauli ya hovyo sana. Utaiwajibishaje serikali kwa mtazamo kama huu?!

Huyu mwenyekiti wa jukwaa la wahariri Tanzania(TEF) ni kama haielewi kabisa umuhimu wa vyombo vya habari kuwa huru kutoka mkono mrefu wa serikali, sijui ni kwa maslahi yake binafsi au upeo wake finyu wa kuelewa kwamba vyombo vya habari ni watchdog au fourth estate ya kuiwajibisha serikali yote kwa ujumla!

Pia soma Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF): Waziri Silaa ameshindwa kuwa karibu na Waandhishi wa Habari
Umri ukishaenda hawa jamaa wanageuka kuwa chawa.
Cc: Paskali Mayalla
 
Nimemsikia Balile anasema waziri wa habari Jery Silaa ni mchungaji wao na wao vyombo vya habari ni kondoo wake waziri! Haya ni maajabu na hii ni kauli ya hovyo sana. Utaiwajibishaje serikali kwa mtazamo kama huu?!
Huyu Balile atuambie kama hivi vyombo vyao vya habari vina msaada gani ktk kustawisha demokrasia Tz.
 
Huyu jamaa huko nyuma nilikuwa namkubali sana.
Nakumbuka andiko lake la kiuchunguzi pale bandarini kwenye mita za mafuta ilikuwa linasisimua na lenye mashiko.
Nilimtegea mpaka sasa awe ameingia chimbo kuleta ishu za nani anahujumu SGR, kwa nini mikataba ya DP WORLD haijaenda bungeni, ishu za wauza stationery kuagiza sukari n.k.
Badala yake anataka kuonana na waziri sijui ili iweje hopeless kabisa now days...
 
Wacha wadharauliwe na waziri,waandishi wengi hawako serious management watawala,hatuna vyombo huru vya habari kwa hivi sasa
 
Sio qjabu wabongo kusemwa tu low IQ aisee, huwesi kusikia kauli za kinyonge na submissive namna hii hata hapo Kenya tu, acha kulipoendelea!
 
Nimemsikia Balile anasema waziri wa habari Jery Silaa ni mchungaji wao na wao vyombo vya habari ni kondoo wake waziri! Haya ni maajabu na hii ni kauli ya hovyo sana. Utaiwajibishaje serikali kwa mtazamo kama huu?!

Huyu mwenyekiti wa jukwaa la wahariri Tanzania(TEF) ni kama haielewi kabisa umuhimu wa vyombo vya habari kuwa huru kutoka mkono mrefu wa serikali, sijui ni kwa maslahi yake binafsi au upeo wake finyu wa kuelewa kwamba vyombo vya habari ni watchdog au fourth estate ya kuiwajibisha serikali yote kwa ujumla!

Pia soma Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF): Waziri Silaa ameshindwa kuwa karibu na Waandhishi wa Habari
Huyo account yake inasoma!! Kwa ajili ya kuwa CHAWA na kuwa neutral!!
Hakuna vyombo vya habari TZ, hakuna waandishi wanakofanya kazi ipasavyo, hakuna mahakama zinazotenda haki.

Nchi ni kama banana 🍌 government, nchi ni kama ipo kwenye "auto pillot "
Kifupi mambo mengi yamepooza!!!

Na wajinga wengi wanasema mama anaupiga mwingi!!!
 
Back
Top Bottom