Deogratias Kisandu amepatwa na nini? Tumsaidieni ushauri kijana mwenzetu

Kuna uzi wa Shunie niliona anamind kuambiwa akatombwe na Deo kisandu nikataka uliza ina maana deo hana access na jukwaa hili mbona hajawahi post qmmr ya mke wake hata mmoja najua hashindwi!..
Naogopa hata mtag asije pata access buree!![emoji23]
 
Swala lake lipelekwe kama muswada bungeni lijadiliwe ili tumpatie solution ya KUTOMBA
 
Uzi mmoja uliokuwa Jukwaa la Wakubwa na comments zake umechanganywa na mwengine Uliokua Jukwaa la Mchanganyiko na Comments zake,
Ngoja nitulie nione hapa Mods walikua na nia gani,
CC Mod Two, Silencer, Active, Mhariri
 
Na wewe unabweka kama kaka deo
 
Sijui watawapiga ban hao wenye comments zenye ukakasi wakati uzi umeunganishwa kutoka JLW

cc Invisible
Ndio hicho nachojiuliza,
Kule tulijiachia sana kutokana na Lugha za kule zilivyo,
Ofcourse kule tunaingiaga members wenyewe tu, tena mpaka utume maombi, wakati hapa hata asie member anaweza kuona hizi comments.
Sasa kuja kuunganishwa na hawa wengine, dah
 
Yuko fresh tu, ile kupayuka maoni yake mtandaoni sidhani kama ni sababu ya kusema ana matatizo ya akili..
Pamoja sana Deogratius Kisandu
 
Huyu mtu sikuwahi kumsikia nimesikia leo fb nikaamua kutàfuta Ac yake mwanzo sikuelewa lakini badae nikajua aisee jamaa psychological hayuko vizuri kachanganya siasa maisha yake mpaka dini kila kitu kapingana nacho jamani afanyiwe uchunguzi huyu mtu waje watuambia ni aina gani ya ugonjwa maana sijawahi ona.
 
na wewe ndio wale wale mpelekwe Mirembe

au hii haikutoshi nikuongezee MITUSI mingine aliyoyamwaga na POLISI au TCRA haijamuonea mwache akachanganywe na nabii tito
Bado sijaona kosa lolote la kufanya akamatwe, kupigwa pingu na watu kama wewe kutokwa na mapovu..
Hajamdhuru mtu yoyote, hayo ni maneno tu, watu kama nyie wenye mihemko ndiyo yawafanye msahahau kabisa mambo muhimu yanayotukabili ili kupambana nayo, kama mafuriko, shule za nyasi, huduma za afya, kukeketwa kwa watoto, wabakaji wa watoto wadogo, mauaji ya vikongwe n.k. n.k.
Hayo niliyoorodhesha na maneno ya Deogratius Kisandu YAPI YANATUATHIRI ZAIDI?!
Ndio maana hata Museveni anakubaliana na Trump kwa fikra kama zako...Tutumie akili zaidi kuliko mihemko ya kizuzu kama yako..
 
Ukisikia shitholes ndio kama wewe.
 
Christopher Mtikila pia walidhani ni kichaa ila baadaye sana walianza muelewa. Mara nyingi binadamu wanaoongea kweli bali kweli tupu wanaonekana wehu kama si vichaa.
Kwani Mtikila alikuwa anaongea kama huyu ndugu yetu kisandu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…