Hiyo ni kazi yake, hata Zamaradi alikua anakosoa movies za wenzie hali ya kua yeye si muigizaji, Salama Jabir alikua anakosoa videos za nyimbo wakati yeye si muimbaji, hata wewe unakosoa wachezaji mpira hali ya kua hata rede hujawahi kucheza, lol.... that's life man, don't be so bitter you will grow a wrinkles.