Deogratius Nalimi Kisandu uko wapi Teacher?

Deogratius Nalimi Kisandu uko wapi Teacher?

KING MIDAS

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
8,589
Reaction score
16,936
1698019955543.png
Tumekumiss sana nduguzo. Hivi ukiwa Marekani ndio unaacha kabisa kutumia JF?
Msalimie sana shemeji yetu Malia Obama
 
Huyu jamaa Matatizo ya Afya ya Akili plus uchawi wa wasukuma vilimtoa mchezoni Mapema lakini the guy was too bright .

Kama mtu inatoka familia Masikini na ambazo sio educated you need to protect Afya ya Akili Sana na kuwa vizuri kiroho kwa jinsi jamaa alivyokuwa inaonekana walimtoa mchezoni .
 
Fb alikua anasema ikulu wamemuweka magufuli feki, original niyeye. Hafu hapo anatukana matusi haswa kuelekea Tiss na ccm.
Sema jamaa antunza kumbukumbu balaa. Naona hata Ukitaka risiti zake za shule ya msingi anazo.
Ticha Og
 
Fb alikua anasema ikulu wamemuweka magufuli feki, original niyeye. Hafu hapo anatukana matusi haswa kuelekea Tiss na ccm.
Sema jamaa antunza kumbukumbu balaa. Naona hata Ukitaka risiti zake za shule ya msingi anazo.
Ticha Og

[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Back
Top Bottom